Serikali na TFF pangeni kima cha chini cha viingilio viwanjani

Serikali na TFF pangeni kima cha chini cha viingilio viwanjani

kavulata

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2012
Posts
13,778
Reaction score
14,214
Mpira ni pesa, kutunza uwanja wa mpira na miundombinu yake ni ghali sana, lakini hata gharama za kuendesha timu na kuandaa mechi ni kubwa sana. Mpira wetu umekuwa sana, unakusanya wachezaji wakubwa wa nchi mbalimbali. Kutokana na ukweli huu hata Watanzania wanaotaka kwenda kuangalia mpira wameongezeka sana.

kautafiti kangu nilikokafanya kutokana na kuingia viwanjani kila wakati kwa muda mrefu kanaonyesha kuwa, watu waonaojisaidia haja kubwa sehemu za haja ndogo na kuharibu miundombinu ya uwanjani wengi wao wanatoka miongoni mwa watazamaji wa viingilio vya chini sana vya 2000 na 3000 au walioingia bure kabisa.

Hawa ni watazamaji ambao ama wanajutia hela yao waliyotoa, hawana nauli ya kurudia, au hawana hela ya kula baada ya mechi kwisha. Hawa ni wale ambao ni rahisi kung'oa koki au Bomba au sinki au balbu au chochote wakauze huko mtaani.

Kiingilio cha sh. 3000 hii ni sawa na 1 US Dollar, duniani hakuna mpira huo. Kiingilio kidogo kinavuta watu wengi wenye uwezo wa kuharibu miundombinu ya uwanjani na kuongeza gharama za uendeshaji kwa bei ya hasara kwa serikali, TFF, timu husika na wadau wengine.

Kiingilio kisiwe chini ya 3-5 US dollar, yaani kati ya Sh. 10,000 na 15,000. Viingilio hivi vitaendana na mabadiliko ya mpira kwenye nchi yetu.
 
Yanga wanalilia kujenga uwanja, sijui wanadhani ikijenga uwanja wake wa kuingiza watu 7,000 hadi 10,000 kiingilio kitakuwaje. Kiukweli mpira nchi hii unapendwa zaidi na wale wa vipato vya chini. Yanga inajaribu kuvutia watu wenye pesa waipende, ukiangalia hata approach zake za marketing siku hizi zinajaribu kuwalenga hao ila kuwatupa hawa wala mihogo ni kupotea.
 
  • Thanks
Reactions: BRN
Mpira ni pesa, kutunza uwanja wa mpira na miundombinu yake ni ghali sana, lakini hata gharama za kuendesha timu na kuandaa mechi ni kubwa sana. Mpira wetu umekuwa sana, unakusanya wachezaji wakubwa wa nchi mbalimbali. Kutokana na ukweli huu hata Watanzania wanaotaka kwenda kuangalia mpira wameongezeka sana.

kautafiti kangu nilikokafanya kutokana na kuingia viwanjani kila wakati kwa muda mrefu kanaonyesha kuwa, watu waonaojisaidia haja kubwa sehemu za haja ndogo na kuharibu miundombinu ya uwanjani wengi wao wanatoka miongoni mwa watazamaji wa viingilio vya chini sana vya 2000 na 3000 au walioingia bure kabisa.

Hawa ni watazamaji ambao ama wanajutia hela yao waliyotoa, hawana nauli ya kurudia, au hawana hela ya kula baada ya mechi kwisha. Hawa ni wale ambao ni rahisi kung'oa koki au Bomba au sinki au balbu au chochote wakauze huko mtaani.

Kiingilio cha sh. 3000 hii ni sawa na 1 US Dollar, duniani hakuna mpira huo. Kiingilio kidogo kinavuta watu wengi wenye uwezo wa kuharibu miundombinu ya uwanjani na kuongeza gharama za uendeshaji kwa bei ya hasara kwa serikali, TFF, timu husika na wadau wengine.

Kiingilio kisiwe chini ya 3-5 US dollar, yaani kati ya Sh. 10,000 na 15,000. Viingilio hivi vitaendana na mabadiliko ya mpira kwenye nchi yetu.
Naunga mkono hoja. Starehe gharama na soka ni starehe. Huwezi kuangalia Mechi ya premier League Kwa sh 2000/3000 halafu utoke uje utuhadithie. Yaani kwenye kibanda umiza wanalipa 1000 wewe uwanjani unalipa Buku 2?
 
Yanga wanalilia kujenga uwanja, sijui wanadhani ikijenga uwanja wake wa kuingiza watu 7,000 hadi 10,000 kiingilio kitakuwaje. Kiukweli mpira nchi hii unapendwa zaidi na wale wa vipato vya chini. Yanga inajaribu kuvutia watu wenye pesa waipende, ukiangalia hata approach zake za marketing siku hizi zinajaribu kuwalenga hao ila kuwatupa hawa wala mihogo ni kupotea.
Mnataka timu zisajili wachezaji wa gharama kwa viingilio vya aftatu?! Hao unaowaita wala mihogo ndio wa kwanza kutukana timu zikisajili kina Ambundo na Habibu Kyombo.

Tujifunze sio kila unachopenda lazima ukipate, kipato hakitoshi vunga ibuka kwenye banda umiza. Tusijaribu kukwepesha uhalisia.
 
Mnataka timu zisajili wachezaji wa gharama kwa viingilio vya aftatu?! Hao unaowaita wala mihogo ndio wa kwanza kutukana timu zikisajili kina Ambundo na Habibu Kyombo.

Tujifunze sio kila unachopenda lazima ukipate, kipato hakitoshi vunga ibuka kwenye banda umiza. Tusijaribu kukwepesha uhalisia.
Hilo jamaa ni jinga sana linaleta ushabiki kwenye mambo yasio na ushabiki, imagine timu zimefikia budget ya 20B+ kwa mwaka gharama za maisha zinapanda wao wanataka mpira wa buku 3
 
Mpira ni pesa, kutunza uwanja wa mpira na miundombinu yake ni ghali sana, lakini hata gharama za kuendesha timu na kuandaa mechi ni kubwa sana. Mpira wetu umekuwa sana, unakusanya wachezaji wakubwa wa nchi mbalimbali. Kutokana na ukweli huu hata Watanzania wanaotaka kwenda kuangalia mpira wameongezeka sana.

kautafiti kangu nilikokafanya kutokana na kuingia viwanjani kila wakati kwa muda mrefu kanaonyesha kuwa, watu waonaojisaidia haja kubwa sehemu za haja ndogo na kuharibu miundombinu ya uwanjani wengi wao wanatoka miongoni mwa watazamaji wa viingilio vya chini sana vya 2000 na 3000 au walioingia bure kabisa.

Hawa ni watazamaji ambao ama wanajutia hela yao waliyotoa, hawana nauli ya kurudia, au hawana hela ya kula baada ya mechi kwisha. Hawa ni wale ambao ni rahisi kung'oa koki au Bomba au sinki au balbu au chochote wakauze huko mtaani.

Kiingilio cha sh. 3000 hii ni sawa na 1 US Dollar, duniani hakuna mpira huo. Kiingilio kidogo kinavuta watu wengi wenye uwezo wa kuharibu miundombinu ya uwanjani na kuongeza gharama za uendeshaji kwa bei ya hasara kwa serikali, TFF, timu husika na wadau wengine.

Kiingilio kisiwe chini ya 3-5 US dollar, yaani kati ya Sh. 10,000 na 15,000. Viingilio hivi vitaendana na mabadiliko ya mpira kwenye nchi yetu.
Kumbe sasa ni hasara kujenga uwanja wa kuingiza watu 60,000 halafu ukawaminya kwa kiingilio wakaingia watu 20,000
 
Mnataka timu zisajili wachezaji wa gharama kwa viingilio vya aftatu?! Hao unaowaita wala mihogo ndio wa kwanza kutukana timu zikisajili kina Ambundo na Habibu Kyombo.

Tujifunze sio kila unachopenda lazima ukipate, kipato hakitoshi vunga ibuka kwenye banda umiza. Tusijaribu kukwepesha uhalisia.
Mimi sijapinga hoja ya kuongeza kiingilio ila nimesema tukumbuke hao wala mihogo ndiyo wenye mzuka wa kweli na mpira, ukiwatupa hao ukawakimbilia wenye pesa ambao wanafuatilia mpira wanapojisikia, mnaweza kuja kukwama.

Wewe unadhani ni mashabiki gani wanaoshangilia na kujisifu wakisikia Yanga wana mpango wa kujenga uwanja wake? Si ndiyo hawa hawa ambao leo mnasema hamuwahitaji tena viwanjani, eti wakaangalie mpira kwenye vibanda umiza?
 
Hilo jamaa ni jinga sana linaleta ushabiki kwenye mambo yasio na ushabiki, imagine timu zimefikia budget ya 20B+ kwa mwaka gharama za maisha zinapanda wao wanataka mpira wa buku 3
Hiyo budget ya kujitakia kama huna mapato. Utatumiaje mtaji wa 20B kupata faida ya sh. 500M kwa mwaka kama sio ujinga?
 
Sawa lakini sisi wa buku 2 ndo tuna shangwe la kutosha pale lupaso.
 
Mpira ni pesa, kutunza uwanja wa mpira na miundombinu yake ni ghali sana, lakini hata gharama za kuendesha timu na kuandaa mechi ni kubwa sana. Mpira wetu umekuwa sana, unakusanya wachezaji wakubwa wa nchi mbalimbali. Kutokana na ukweli huu hata Watanzania wanaotaka kwenda kuangalia mpira wameongezeka sana.

kautafiti kangu nilikokafanya kutokana na kuingia viwanjani kila wakati kwa muda mrefu kanaonyesha kuwa, watu waonaojisaidia haja kubwa sehemu za haja ndogo na kuharibu miundombinu ya uwanjani wengi wao wanatoka miongoni mwa watazamaji wa viingilio vya chini sana vya 2000 na 3000 au walioingia bure kabisa.

Hawa ni watazamaji ambao ama wanajutia hela yao waliyotoa, hawana nauli ya kurudia, au hawana hela ya kula baada ya mechi kwisha. Hawa ni wale ambao ni rahisi kung'oa koki au Bomba au sinki au balbu au chochote wakauze huko mtaani.

Kiingilio cha sh. 3000 hii ni sawa na 1 US Dollar, duniani hakuna mpira huo. Kiingilio kidogo kinavuta watu wengi wenye uwezo wa kuharibu miundombinu ya uwanjani na kuongeza gharama za uendeshaji kwa bei ya hasara kwa serikali, TFF, timu husika na wadau wengine.

Kiingilio kisiwe chini ya 3-5 US dollar, yaani kati ya Sh. 10,000 na 15,000. Viingilio hivi vitaendana na mabadiliko ya mpira kwenye nchi yetu.
Kipato cha mtanzania ni chini ya dola moja kwa siku na hapo bado hajala, hajaugua, hajasaidia ndugu......

Acha upuuzi, malipo yanaendana nauchumina thamani ya fedha kwa nchi husika!
Au kwa kuwa unazo pesa...

Simba haiwezi kufany upumbavu kama huo....
 
Hoja yako haina mashiko...

Ukiwa na uwanja mkubwa dizaini ya huu wetu.... ukiweka kiingilio kikubwa unapata watu wachache, so na mapato pia yanakuwa kidogo...

Lakini ukiweka kiingilio minimum... unapata watu wengi... kwa maana unajaza full house... na mapato angalau yanapanda...

Maana lengo la kujenga uwanja mkubwa, ni ku accommodate watu wengi pia!

Sasa unaweka kiingilio cha Tshs.15,000 au Tshs.20,000 kama minimum afu unajikuta umeingiza watu 20,000 tu uwanja unabaki unaelea... maana ya kutazama soka inapotea...
 
Kipato cha mtanzania ni chini ya dola moja kwa siku na hapo bado hajala, hajaugua, hajasaidia ndugu......

Acha upuuzi, malipo yanaendana nauchumina thamani ya fedha kwa nchi husika!
Au kwa kuwa unazo pesa...

Simba haiwezi kufany upumbavu kama huo....
Sasa kwanini Wakisajili kina Abdallah na Ambundo mnatokwa povu? Kwanini Mo akitangaza kupata Hasara mnakataa?!
 
Soka ni starehe kugharimikia lazima mbona fiesta watu wanajaa na wanalipa zaidi ya elfu 10
Yanga day haikuwa tukio la ghafla lilitangazwa week mbili kabla mtu kujiandaa ukajipanga ukalipia kiingilio na kuchangia team yako si jambo gumu

Mashabiki tunataka mambo makubwa, wachezaji wa gharama kutoka senegal, Cameron brazil. Lakini hata kuwajibika kuchangia team kwa njia ya kiingilio tunataka tulipie elf 1
Huu ni ujinga
 
Umeandika pumba tupu. Watu kujaa uwanjani ni faida kubwa kwa nchi. Sio pesa tu hata wadhamini wanahamasika kudhamini zaidi timu zinazovutia watazamaji. Yale matangazo yanayowekwa uwanjani unataka yaangaliwe na kina nani kama sio watu? Mashabiki ni muhimu sana kwa maendeleo ya soka.
 
Unaishije na majirani zako hapo mtaani mkuu?

Una point ila iambie serikali yako ifanye watu wake wawe na huo uwezo otherwise huko uwanjani hautakuta mtu, ref yanga day jana
Aaa kaka, hizi timu zetu Kuna wakati zinahitaji watu wa kuichangia timu Yao na kuna wakati zinahitaji watu wa kuishangilia timu Yao. Yanga jana ilikuwa inahitaji wachangiaji badala ya washangiliaji. Yanga jana imevuna fedha nyingi kuliko kama kiingilio kingekuwa 2000 au 3000. Ni hesabu TU kaka zilitumika. Kuna tiketi ziliuzwa hadi sh 500,000, mpira wa Sasa hauhitaji watu wengi oyaoya tu viwanjani. Nunua jezi, lipa ada ya uwanachama na ushabiki, lipa kiingilio na uende ukashangilie ili tununue wachezaji ghali sokoni. Hizi ni timu za wananchi.
 
Mnataka timu zisajili wachezaji wa gharama kwa viingilio vya aftatu?! Hao unaowaita wala mihogo ndio wa kwanza kutukana timu zikisajili kina Ambundo na Habibu Kyombo.

Tujifunze sio kila unachopenda lazima ukipate, kipato hakitoshi vunga ibuka kwenye banda umiza. Tusijaribu kukwepesha uhalisia.
Bageti ya timu ni 24b wewe unatoa 3000, ndio maana mo anagomba kila wakati kuwa anapata hasara. Uwende ukaangalie live mechi ya Simba vs Al-ahly kwa 2000 (bia moja) umeroga?
 
Back
Top Bottom