Serikali na TRA rejesheni kodi ya kichwa, watanzania wanadumaa akili kwa kutokuwajibika

Serikali na TRA rejesheni kodi ya kichwa, watanzania wanadumaa akili kwa kutokuwajibika

ngara23

JF-Expert Member
Joined
Aug 31, 2019
Posts
9,091
Reaction score
21,087
Miaka ya nyumba wazazi wetu wakilipa Kodi ya kichwa ilikuwa elfu 5 tu.

Napendekeza Kodi ya kichwa iwe elfu 50 Kwa mwaka. Kila mwanaume na mwanamke mwenye umri wa miaka 18 ambaye sio Mzee au mlemavu alipe Kodi.

Haiwezekani hii nchi raia hawalipi Kodi wanaolipa Kodi ni wachache mno.

Wakiulizwa eti wanalipwa Kodi wakinunua vocha, wembe, mchele n.k, hii sio kweli ni kutegea jukumu la kulipa Kodi.

Watu Kwa Sasa wanajiita wanyonge sio raia wa kawaida na kujipa huruma za kijanga, mara kazi hamna, kwanini ukose kazi ya kufanya Tanzania hii kubwa amani ipo, ardhi, watu, upo mjini unajiliza tu, vipi ungekuwa Somalia, Sudan, Djibouti, Congo

Madhara ya wananchi kutokulipa Kodi
1. Kutokuhoji mambo ya maendeleo
Yaani Kwa Sasa wananchi wapo kama Manzombi. Viongozi wanamiliki timu za mipira, wananunua magari ya million 700, wanapeleka wasanii kwenye mkutano wa CCM kuomba awe na awe na, lakini Zahanati ya Buguruni hamna gloves ya mama kujifungua. Hakuna anayehoji maana watu hawalipi Kodi.

2. Mfumo wa bei. Zamani wazee wakilipa Kodi 5000 tu. Bei za bidhaa zilikuwa nafuu. Bia ilikuwa 600, sabuni 100, Kitenge 500, Daftari sh 50
Sasa kipo Bora tulipe Kodi ili bidhaa zishuke au tusilipe

3. Tunazalisha vijana wazembe na wavivu. Vijana wanabishana Simba na Yanga ila kazi hawana na hawataki, wanajiita wananchi wa kawaida na wanyonge.

Hii haiwezekani vijana fanyeni kazi mlipe Kodi ya serikali.
 
Miaka ya nyumba wazazi wetu wakilipa Kodi ya kichwa ilikuwa elfu 5 tu
Napendekeza Kodi ya kichwa iwe elfu 50 Kwa mwaka
Kila mwanaume na mwanamke mwenye umri wa miaka 18 ambaye sio Mzee au mlemavu alipe Kodi
Haiwezekani hii nchi raia hawalipi Kodi wanaolipa Kodi ni wachache mno
Wakiulizwa eti wanalipwa Kodi wakinunua vocha, wembe, mchele n. K hii sio kweli ni kutegea jukumu la kulipa Kodi
Watu Kwa Sasa wanajiita wanyonge sio raia wa kawaida na kujipa huruma za kijanga, mara kazi hamna, kwanini ukose kazi ya kufanya Tanzania hii kubwa amani ipo, ardhi, watu, upo mjini unajiliza tu, vipi ungekuwa Somalia, Sudan, Djibouti, Congo

Madhara ya wananchi kutokulipa Kodi
1.Kutokuhoji mambo ya maendeleo
Yaani Kwa Sasa wananchi wapo kama Manzombi
Viongozi wanamiliki timu za mipira, wananunua magari ya million 700, wanapeleka wasanii kwenye mkutano wa CCM kuomba awe na awe na, lakini Zahanati ya Buguruni hamna gloves ya mama kujifungua
Hakuna anayehoji maana watu hawalipi Kodi

2. Mfumo wa bei,
Zamani wazee wakilipa Kodi 5000 tu
Bei za bidhaa zilikuwa nafuu
Bia ilikuwa 600, sabuni 100, Kitenge 500, Daftari sh 50
Sasa kipo Bora tulipe Kodi ili bidhaa zishuke au tusilipe

3 Tunazalisha vijana wazembe na wavivu
Vijana wanabishana Simba naYanga ila kazi hawana na hawataki, wanajiita wananchi wa kawaida na wanyonge.
Hii haiwezekani vijana fanyeni kazi mlipe Kodi ya serikali
Enzi izo Kuna Kodi ya BAISKELI yaani kipande Cha sticker kinabandikwa kwenye mgamba..

Enzi izo mtu anajificha kukwepa kulipa Kodi ya kichwa ☺️😊

Hatare Sana haina namna Kodi ya kichwa irudishwe tenaa na tuwekewe deadline.

Msako nyumba kwa nyumba , daladala kwa daladala, barabara kwa barabara...yatakua Maisha ya kijima na udikteta usio na maana currently dunia ime enda mbele sana ki science & technologies
 
Miaka ya nyumba wazazi wetu wakilipa Kodi ya kichwa ilikuwa elfu 5 tu.

Napendekeza Kodi ya kichwa iwe elfu 50 Kwa mwaka. Kila mwanaume na mwanamke mwenye umri wa miaka 18 ambaye sio Mzee au mlemavu alipe Kodi.

Haiwezekani hii nchi raia hawalipi Kodi wanaolipa Kodi ni wachache mno.

Wakiulizwa eti wanalipwa Kodi wakinunua vocha, wembe, mchele n.k, hii sio kweli ni kutegea jukumu la kulipa Kodi.

Watu Kwa Sasa wanajiita wanyonge sio raia wa kawaida na kujipa huruma za kijanga, mara kazi hamna, kwanini ukose kazi ya kufanya Tanzania hii kubwa amani ipo, ardhi, watu, upo mjini unajiliza tu, vipi ungekuwa Somalia, Sudan, Djibouti, Congo

Madhara ya wananchi kutokulipa Kodi
1. Kutokuhoji mambo ya maendeleo
Yaani Kwa Sasa wananchi wapo kama Manzombi. Viongozi wanamiliki timu za mipira, wananunua magari ya million 700, wanapeleka wasanii kwenye mkutano wa CCM kuomba awe na awe na, lakini Zahanati ya Buguruni hamna gloves ya mama kujifungua. Hakuna anayehoji maana watu hawalipi Kodi.

2. Mfumo wa bei. Zamani wazee wakilipa Kodi 5000 tu. Bei za bidhaa zilikuwa nafuu. Bia ilikuwa 600, sabuni 100, Kitenge 500, Daftari sh 50
Sasa kipo Bora tulipe Kodi ili bidhaa zishuke au tusilipe

3. Tunazalisha vijana wazembe na wavivu. Vijana wanabishana Simba na Yanga ila kazi hawana na hawataki, wanajiita wananchi wa kawaida na wanyonge.

Hii haiwezekani vijana fanyeni kazi mlipe Kodi ya serikali.
Hahahahaha, kujiajiri kwa wengi it needs be supported by the government. Sio kwa kutoa mikopo ya 50,000 na ule ujinga wa Tasaf
 
Miaka ya nyumba wazazi wetu wakilipa Kodi ya kichwa ilikuwa elfu 5 tu.

Napendekeza Kodi ya kichwa iwe elfu 50 Kwa mwaka. Kila mwanaume na mwanamke mwenye umri wa miaka 18 ambaye sio Mzee au mlemavu alipe Kodi.

Haiwezekani hii nchi raia hawalipi Kodi wanaolipa Kodi ni wachache mno.

Wakiulizwa eti wanalipwa Kodi wakinunua vocha, wembe, mchele n.k, hii sio kweli ni kutegea jukumu la kulipa Kodi.

Watu Kwa Sasa wanajiita wanyonge sio raia wa kawaida na kujipa huruma za kijanga, mara kazi hamna, kwanini ukose kazi ya kufanya Tanzania hii kubwa amani ipo, ardhi, watu, upo mjini unajiliza tu, vipi ungekuwa Somalia, Sudan, Djibouti, Congo

Madhara ya wananchi kutokulipa Kodi
1. Kutokuhoji mambo ya maendeleo
Yaani Kwa Sasa wananchi wapo kama Manzombi. Viongozi wanamiliki timu za mipira, wananunua magari ya million 700, wanapeleka wasanii kwenye mkutano wa CCM kuomba awe na awe na, lakini Zahanati ya Buguruni hamna gloves ya mama kujifungua. Hakuna anayehoji maana watu hawalipi Kodi.

2. Mfumo wa bei. Zamani wazee wakilipa Kodi 5000 tu. Bei za bidhaa zilikuwa nafuu. Bia ilikuwa 600, sabuni 100, Kitenge 500, Daftari sh 50
Sasa kipo Bora tulipe Kodi ili bidhaa zishuke au tusilipe

3. Tunazalisha vijana wazembe na wavivu. Vijana wanabishana Simba na Yanga ila kazi hawana na hawataki, wanajiita wananchi wa kawaida na wanyonge.

Hii haiwezekani vijana fanyeni kazi mlipe Kodi ya serikali.
Wanasiasa wote ndiyo watozwe kodi ya kichwa sh 50000 kwa mwaka
 
huenda hii ikatusaidia kuamka kwa matumizi mabovu ya kodi zetu.
Itatupunguzia hawa machawa wa wanasiasa.

Sio kodi ya kichwa tu hata ya miguu watanzania wanaweza kulipa ikiwa tu matumizi ya kodi zao yanaeleweka, viongozi wetu wanaharibu sana uzalendo wa wananchi.
 
Miaka ya nyumba wazazi wetu wakilipa Kodi ya kichwa ilikuwa elfu 5 tu.

Napendekeza Kodi ya kichwa iwe elfu 50 Kwa mwaka. Kila mwanaume na mwanamke mwenye umri wa miaka 18 ambaye sio Mzee au mlemavu alipe Kodi.

Haiwezekani hii nchi raia hawalipi Kodi wanaolipa Kodi ni wachache mno.

Wakiulizwa eti wanalipwa Kodi wakinunua vocha, wembe, mchele n.k, hii sio kweli ni kutegea jukumu la kulipa Kodi.

Watu Kwa Sasa wanajiita wanyonge sio raia wa kawaida na kujipa huruma za kijanga, mara kazi hamna, kwanini ukose kazi ya kufanya Tanzania hii kubwa amani ipo, ardhi, watu, upo mjini unajiliza tu, vipi ungekuwa Somalia, Sudan, Djibouti, Congo

Madhara ya wananchi kutokulipa Kodi
1. Kutokuhoji mambo ya maendeleo
Yaani Kwa Sasa wananchi wapo kama Manzombi. Viongozi wanamiliki timu za mipira, wananunua magari ya million 700, wanapeleka wasanii kwenye mkutano wa CCM kuomba awe na awe na, lakini Zahanati ya Buguruni hamna gloves ya mama kujifungua. Hakuna anayehoji maana watu hawalipi Kodi.

2. Mfumo wa bei. Zamani wazee wakilipa Kodi 5000 tu. Bei za bidhaa zilikuwa nafuu. Bia ilikuwa 600, sabuni 100, Kitenge 500, Daftari sh 50
Sasa kipo Bora tulipe Kodi ili bidhaa zishuke au tusilipe

3. Tunazalisha vijana wazembe na wavivu. Vijana wanabishana Simba na Yanga ila kazi hawana na hawataki, wanajiita wananchi wa kawaida na wanyonge.

Hii haiwezekani vijana fanyeni kazi mlipe Kodi ya serikali.
Iwe kwa chawa na wasanii ili vichwa vyao vipate akili.
 
Kule Kyela kuna Wazee waliliwa na Mamba kwa kukimbilia mto Mbaka na kuishi huko kisa kukimbia kodi ya kichwa (bhabopaga Isongo ni ifipande fya Njinga)

Damu yao imlilie Nyerere popote alipo
 
Miaka ya nyumba wazazi wetu wakilipa Kodi ya kichwa ilikuwa elfu 5 tu.

Napendekeza Kodi ya kichwa iwe elfu 50 Kwa mwaka. Kila mwanaume na mwanamke mwenye umri wa miaka 18 ambaye sio Mzee au mlemavu alipe Kodi.

Haiwezekani hii nchi raia hawalipi Kodi wanaolipa Kodi ni wachache mno.

Wakiulizwa eti wanalipwa Kodi wakinunua vocha, wembe, mchele n.k, hii sio kweli ni kutegea jukumu la kulipa Kodi.

Watu Kwa Sasa wanajiita wanyonge sio raia wa kawaida na kujipa huruma za kijanga, mara kazi hamna, kwanini ukose kazi ya kufanya Tanzania hii kubwa amani ipo, ardhi, watu, upo mjini unajiliza tu, vipi ungekuwa Somalia, Sudan, Djibouti, Congo

Madhara ya wananchi kutokulipa Kodi
1. Kutokuhoji mambo ya maendeleo
Yaani Kwa Sasa wananchi wapo kama Manzombi. Viongozi wanamiliki timu za mipira, wananunua magari ya million 700, wanapeleka wasanii kwenye mkutano wa CCM kuomba awe na awe na, lakini Zahanati ya Buguruni hamna gloves ya mama kujifungua. Hakuna anayehoji maana watu hawalipi Kodi.

2. Mfumo wa bei. Zamani wazee wakilipa Kodi 5000 tu. Bei za bidhaa zilikuwa nafuu. Bia ilikuwa 600, sabuni 100, Kitenge 500, Daftari sh 50
Sasa kipo Bora tulipe Kodi ili bidhaa zishuke au tusilipe

3. Tunazalisha vijana wazembe na wavivu. Vijana wanabishana Simba na Yanga ila kazi hawana na hawataki, wanajiita wananchi wa kawaida na wanyonge.

Hii haiwezekani vijana fanyeni kazi mlipe Kodi ya serikali.
Hata viongozi serikalini hawawajibiki
 
Back
Top Bottom