Serikali na ununuzi wa mawe makubwa

Serikali na ununuzi wa mawe makubwa

Raphael Thedomiri

JF-Expert Member
Joined
Sep 1, 2019
Posts
442
Reaction score
729
Wataalamu,

ni ipi hasa sababu ya serikali kuyanunua madini yenye uzito mkubwa/thamani kubwa, je labda kunayo madhara yoyote endapo mchimbaji akiyapeleka sokoni mwenyewe badala ya kuiuzia serikali?


Na je mchimbaji anapata malipo mazuri zaidi kuliko sokoni?

Huo utaratibu maana yake nini
Screenshot_20220827-145903_Twitter.jpg
 
Back
Top Bottom