Serikali na ununuzi wa mawe makubwa

Serikali na ununuzi wa mawe makubwa

Raphael Thedomiri

JF-Expert Member
Joined
Sep 1, 2019
Posts
442
Reaction score
729
Wataalamu,

ni ipi hasa sababu ya serikali kuyanunua madini yenye uzito mkubwa/thamani kubwa, je labda kunayo madhara yoyote endapo mchimbaji akiyapeleka sokoni mwenyewe badala ya kuiuzia serikali?


Na je mchimbaji anapata malipo mazuri zaidi kuliko sokoni?

Huo utaratibu maanake nini
Screenshot_20220827-145903_Twitter.jpg
 
Back
Top Bottom