Serikali na Waangalizi wa Haki za Wanyama wamuonye haraka Kocha wa Yanga Mwinyi Zahera kwani anatukana na anadhalilisha mno

Serikali na Waangalizi wa Haki za Wanyama wamuonye haraka Kocha wa Yanga Mwinyi Zahera kwani anatukana na anadhalilisha mno

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Kila akihojiwa tu na Waandishi wa Habari lazima utamsikia akitamka maneno ya ' Mboo ' au ' Boo ' huku mara kwa mara akitamka neno la ' Meee... Meee ' tena Kidharau kabisa hali ambayo inaonyesha kuwa anavidhalilisha Viungo vyetu vya Uzazi Sisi Wanaume ( namaanisha Mikuyenge yetu iliyotukuka ) huku akiwanyanya sana Mbuzi wetu kwa kuwaita mara kwa mara utadhani kuna Kitu wamemkosea.

Aonywe upesi / haraka tafadhali.

Nawasilisha.
 
Back
Top Bottom