SoC04 Serikali na Wananchi washirikiane kutatua changamoto katika elimu

Tanzania Tuitakayo competition threads

Edson Eagle

Member
Joined
Apr 20, 2024
Posts
30
Reaction score
12
Tanzania bado tuna changamoto katika suala zima la elimu ikiwa ni pamoja na mazingira mabovu ya kujifunzia, uchache wa vifaa bora vya kufundishia nakujifunzia, uchache wa shule katika baadhi ya maeneo hususani vijijini.

Katika Tanzania tuitakayo serikali kwa kushirikiana na wananchi tunatakiwa kuhakikisha tunatatua changamoto kama hizo ili kuweka ubora nakupiga hatua katika suala la elimu nakutengeneza wasomi wenye uwezo na ujuzi mkubwa.

Naipongeza Serikali kwa kubadili mitaala ya elimu hiyo ni moja kati ya hatua.

 
Upvote 1
Edsoni mdogo wangu unajitahidi kuandika.
Jitahidi ukamilishe idadi ya maneno pia ikiwa unayo nia ya kushinda.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…