Serikali ni ya wananchi, wabunge ni wawakilishi wa wananchi

August

JF-Expert Member
Joined
Jun 18, 2007
Posts
9,327
Reaction score
5,206
Tatizo linakuja Serikali inapiokataa au kuona ina haki ya kutotimiza yanayotakiwa na wawakilishi wa wananchi, je hiyo serikali kweli ni ya wananchi au ya Mafisadi.
Hii inafuatia tamko la serikali kwamba Sio lazima serikali itekeleze maazimio ya Bunge.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…