JeanPrierre
Member
- Feb 4, 2012
- 91
- 30
Ndugu wa JF, wafanyakazi serikalini na sector binafsi ukiachilia mbali wafanyabiashara watakuwa wanajua maumivu wanayoyapata kwenye makato ya mshahara (yaani PAY AS YOU EARN). Lakini hii sector "nyumba za kupanga" naona imesahaulika kabisa wakati ingeweza kuchangia kiasi kikubwa kwenye pato la Taifa. Kitu ambacho kimenifanya hadi niandike thread hii ni baada ya kulipa kodi ya nyumba laki 9 kwa miezi 6 kwa mwenye. Nafikiri mtakubalina nami kuwa hizi hela mwenye nyumba hatoi rist ya kuwa amepokea hela na ambayo pia ingeonyesha kuwa kuna kiasi fulani kinaenda Serikalini.
My take:
Hii ni biashara kama biashara zingine, kwa hiyo ni muhimukuwa na kiasi ambacho kinaenda serikalini. Ni muda mwafaka kwa Serikali kuanzisha mkakati wa kuweza kukusanya mapato kwenye hizi nyumba za kupanga. Lakini vile vile wapangaji tungeshirikiana kutoa taarifa ili tuweze kujenga nchi yetu.
Nawasilisha!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
My take:
Hii ni biashara kama biashara zingine, kwa hiyo ni muhimukuwa na kiasi ambacho kinaenda serikalini. Ni muda mwafaka kwa Serikali kuanzisha mkakati wa kuweza kukusanya mapato kwenye hizi nyumba za kupanga. Lakini vile vile wapangaji tungeshirikiana kutoa taarifa ili tuweze kujenga nchi yetu.
Nawasilisha!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!