Serikali: Nyumba za kupanga - chanzo cha mapato kilichosahaulika


Na mwenye nyumba naye atadaiwa P.A.Y.E baada ya serekali kujua anaingiza pato kiasi gani kwa mwaka. Sio mpangaji tu ndio atalipa kodi... Umezungumzia kodi moja tu hapo VAT, Kuna Property Tax, Withholding Tax, Land Rent, Kodi za halmashauri nk... Hii ni sekta iliyosahaulika kwakweli (huenda makusudi)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…