Serikali okoa wakulima wa papai

Serikali okoa wakulima wa papai

astranaut

JF-Expert Member
Joined
Jul 30, 2018
Posts
1,276
Reaction score
1,024
Hapo nyuma nilileta uzi wangu wa kuhusu kushuka kwa soko la papai lakini mods wakaunganisha na uzi mwingine,mimi kilio changu ni kile kile kama mkulima wa zao hili la papai,kumekua na changamoto kwenye mauzo baada ya mh.rais kutangaza kua vipimo vilibaini kwamba papai lina corona.Baada ya hapo baadhi ya watanzania ambao uelewa wao ni mdogo wameichukulia kauli ya mh.rais negativelly kwamba papai lina corona,hivyo ulaji wa papai umeshuka kabisa na kutusababishia sisi wakulima kukosa soko na kupata hasara kubwa.

Hivyo basi kuna umuhimu wa serikali kujitokeza tena na kuja kutoa maelezo ya kina juu ya papai kua postive,kama sio kweli yalikua makosa ya vifaa basi iwaweke sawa watanzania ili biashara iendelee na watanzania tuendelee kujipatia kipato,kuepuka hasara na kufilisiwa na mabank ukizingatia wakulima wengine tulichukua mikopo bank
 
Hivi wale wa korosho baada ya soko lao kuvurugwa ulishawahi kusikia wameambiwa chochote mkuu,
 
Hivi wale wa korosho baada ya soko lao kuvurugwa ulishawahi kusikia wameambiwa chochote mkuu,
mi najitetea mimi binafsi kwa sababu sina mwingine wa kunitetea na kunisemea,wao kama walilidhika ni wao lakini mi naumia ndo maana nimetoka hadharani kuongea kinachonisibu
 
mi najitetea mimi binafsi kwa sababu sina mwingine wa kunitetea na kunisemea,wao kama walilidhika ni wao lakini mi naumia ndo maana nimetoka hadharani kuongea kinachonisibu
Weka barua ya wazi kwa rais hapa ili atengue hilo balaa alilotengeneza. Kusema serikali, ni ombi ambalo kila mtumishi wa serikali amamuogopa rais, hivyo haitatokea.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapo nyuma nilileta uzi wangu wa kuhusu kushuka kwa soko la papai lakini mods wakaunganisha na uzi mwingine,mimi kilio changu ni kile kile kama mkulima wa zao hili la papai,kumekua na changamoto kwenye mauzo baada ya mh.rais kutangaza kua vipimo vilibaini kwamba papai lina corona.Baada ya hapo baadhi ya watanzania ambao uelewa wao ni mdogo wameichukulia kauli ya mh.rais negativelly kwamba papai lina corona,hivyo ulaji wa papai umeshuka kabisa na kutusababishia sisi wakulima kukosa soko na kupata hasara kubwa.

Hivyo basi kuna umuhimu wa serikali kujitokeza tena na kuja kutoa maelezo ya kina juu ya papai kua postive,kama sio kweli yalikua makosa ya vifaa basi iwaweke sawa watanzania ili biashara iendelee na watanzania tuendelee kujipatia kipato,kuepuka hasara na kufilisiwa na mabank ukizingatia wakulima wengine tulichukua mikopo bank
Mapapai yana korona[emoji38]

Kkkk.......just Joking.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Weka barua ya wazi kwa rais hapa ili atengue hilo balaa alilotengeneza. Kusema serikali, ni ombi ambalo kila mtumishi wa serikali amamuogopa rais, hivyo haitatokea.

Sent using Jamii Forums mobile app
mi naimani humu kuna washauri wake watamfikishia kwa nia njema hata yeye mwenyewe naimani anaweza akawa na akaunti humu ndani
 
Back
Top Bottom