serikali saidia waliokosa ajira hawa

Wakwetu03

Senior Member
Joined
Sep 15, 2010
Posts
194
Reaction score
87
kuna vijana wengi wenye elimu mbalimbali ambao wapo mtaani bila kuwa na ajira yoyote,naomba serikali iwape vijana hawa kazi kwenye sensa ya taifa badala ya waalimu ambao tayari wana ajira zao.NAWASILISHA.
 
kuna vijana wengi wenye elimu mbalimbali ambao wapo mtaani bila kuwa na ajira yoyote,naomba serikali iwape vijana hawa kazi kwenye sensa ya taifa badala ya waalimu ambao tayari wana ajira zao.NAWASILISHA.

Mwenye nacho anaongezewa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…