kuna vijana wengi wenye elimu mbalimbali ambao wapo mtaani bila kuwa na ajira yoyote,naomba serikali iwape vijana hawa kazi kwenye sensa ya taifa badala ya waalimu ambao tayari wana ajira zao.NAWASILISHA.
kuna vijana wengi wenye elimu mbalimbali ambao wapo mtaani bila kuwa na ajira yoyote,naomba serikali iwape vijana hawa kazi kwenye sensa ya taifa badala ya waalimu ambao tayari wana ajira zao.NAWASILISHA.