sifi leo JF-Expert Member Joined Mar 30, 2012 Posts 5,182 Reaction score 8,948 Jan 30, 2025 #1 Kwanza nianze na mpola NYINGI kwa baba na mama zangu walio mkoa wa Kagera Pili kichwa Cha habari kinajitosheleza naomba jibu.
Kwanza nianze na mpola NYINGI kwa baba na mama zangu walio mkoa wa Kagera Pili kichwa Cha habari kinajitosheleza naomba jibu.
G Goguryeo JF-Expert Member Joined May 17, 2019 Posts 3,003 Reaction score 5,653 Jan 30, 2025 #2 Mimi sijui. Ila tuchukue tahadhari.
sifi leo JF-Expert Member Joined Mar 30, 2012 Posts 5,182 Reaction score 8,948 Jan 30, 2025 Thread starter #3 Goguryeo said: Mimi sijui. Ila tuchukue tahadhari. Click to expand... Wewe ni serikali au kikalagosi Cha manzese?
Goguryeo said: Mimi sijui. Ila tuchukue tahadhari. Click to expand... Wewe ni serikali au kikalagosi Cha manzese?
Ushimen JF-Expert Member Joined Oct 24, 2012 Posts 40,828 Reaction score 99,523 Jan 30, 2025 #4 Baada ya Rais Kikwete atakuja Rais mweusi mchapa kazi, hata hivyo ataongoza kwa kipindi kifupi, ndipo Tanzania itapata Rais mwanamke na baada ya hapo Upinzani utachukua nchi,”… Sheikh Yahaya"
Baada ya Rais Kikwete atakuja Rais mweusi mchapa kazi, hata hivyo ataongoza kwa kipindi kifupi, ndipo Tanzania itapata Rais mwanamke na baada ya hapo Upinzani utachukua nchi,”… Sheikh Yahaya"
G Goguryeo JF-Expert Member Joined May 17, 2019 Posts 3,003 Reaction score 5,653 Jan 30, 2025 #5 sifi leo said: Wewe ni serikali au kikalagosi Cha manzese? Click to expand... Mimi ni Mimi.
njiwa JF-Expert Member Joined Apr 16, 2009 Posts 13,144 Reaction score 6,942 Jan 30, 2025 #6 Umejuaje kuwa hazijakwenda