issa ramadhani
JF-Expert Member
- Nov 11, 2014
- 1,319
- 260
naiomba serikali kupitia TAMISEM na wizara ya elimu na mafunzo ya ufundi isitishe ajira za walimu wa leseni walioajiriwa mwaka 2006 na 2007 kwa lengo la kuongeza ufanisi katika shule za kata.
kiukwel shule nyingi za kata zimekuwa na walimu wengi wa diploma na digrii.walimu hawa wa diploma na digrii wanauwezo mkubwa na ufanisi wao pia ni mkubwa sana katika maswala ya elimu kuliko walimu wa leseni.
walimu wa lesen kutokana na uelewa wao mdogo wamekuwa wakiwapotosha wanafunzi na hata kutokujua maadili na miko ya ualimu kisaokolojia yakoje.walimu hao wamekuwa chanzo cha migogoro mingi mashuleni na walimu wenzao kwa sababu hawajui education management ikoje.
walimu hao wamekuwa hawafundishi inavyotakiwa kulingana na syllabus ilivyo kwa sababu hawajajifunza ni jinsi gan utafundisha kufuatana na syllabus.kwa haya machache naiomba serikali isitishe ajira kwa walimu hawa wa leseni. naomba kuwasilisha hoja
kiukwel shule nyingi za kata zimekuwa na walimu wengi wa diploma na digrii.walimu hawa wa diploma na digrii wanauwezo mkubwa na ufanisi wao pia ni mkubwa sana katika maswala ya elimu kuliko walimu wa leseni.
walimu wa lesen kutokana na uelewa wao mdogo wamekuwa wakiwapotosha wanafunzi na hata kutokujua maadili na miko ya ualimu kisaokolojia yakoje.walimu hao wamekuwa chanzo cha migogoro mingi mashuleni na walimu wenzao kwa sababu hawajui education management ikoje.
walimu hao wamekuwa hawafundishi inavyotakiwa kulingana na syllabus ilivyo kwa sababu hawajajifunza ni jinsi gan utafundisha kufuatana na syllabus.kwa haya machache naiomba serikali isitishe ajira kwa walimu hawa wa leseni. naomba kuwasilisha hoja