mtanzania1989
JF-Expert Member
- May 20, 2010
- 4,068
- 6,758
Hao walio piga chanjo hawafi tena? Unajua kinacho endelea 🇸🇨 Seychelles? Futa ujinga wako ...Amini nakwambia. Covid itarudi tena kuanzia October kama amvavyo imefanya na kuondoka na watu kibao mwaka Jana na mwaka juzi. Barakoa na chanjo ndio moja ya preventive measures. Acheni ujinga wa kumwiga Magu kisha akaondoka kwa kovid hiyo hiyo
Hiyo kamati hata hatujui inafanya nini hasa au inachunguza nini?Lakini Mama si kaunda tume au sijui ni kamati ile…
Bado haijatoa mwongozo?
Kamati inapiga helaHiyo kamati hata hatujui inafanya nini hasa au inachunguza nini?
Hii kitu niliona hata dogo janja akilalamika.Nikiwa katika moja ya Airport zetu nikisubiri kupanda ndege ya Qatar kwenda Uarabuni, nilikutana na kundi la Watalii kama 9 waliokuwa wanarudi kwao Marekani wakiwa na malalamiko mazito sana.
Hawa Watalii walikuwa na hasira isiyo ya kawaida wakilalamikia utendaji kazi wa Serikali ya Tanzania na gharama za kupima Corona. Licha ya kuwa hawa wote walikuwa na change (vaccination) kutoka nchini kwao Marekani, na kadi ya kuonyesha walipewa chanjo walikuwa nazo.
Walipoingia nchini, Walilazimishwa kulipa $100 kila mmoja kwa jailli ya kupima Corona na wala majibu hawakuyaona. Walipokuwa wanarejea makwao, walilazimishwa kukaa siku tatu zaidi Hotelini kusubiria majibu ya Corona nje ya kulipishwa $175 nyingine kila mmoja kwa jailli ya vipimo ili waweze kusafiri.
Mbaya Zaidi, wanne kati yao majibu yao ya kwanza yalirudi wana Corona Virus. Walipo rudi kupima mara ya pili, majibu yakarudi Negative.
Kwa kifupi hawa wageni walikuwa wanajuta kuja kutalii Tanzania, kwa maana usumbufu na gharama kuja Tanzania ni kubwa mno. Nchi nyingi za Magharibi unapokuwa na cheti cha kuonyesha umechanjwa, hakuna usumbufu mwingine. Walichoniuliza, ni kwamba, wanaporudi kwao, wanaenda kuonyesha karatasi la kupimwa kutoka Tanzania, au Chanjo waliyopewa Marekani?
Nadhani ni muda serikali ikaangalia hili swala kwa undani kwa sababu tunachafuka mno. Wale watalii kamwe hawatarudi Tanzania, na hatujui hiyo sumu wataisambaza wapi na kwa nani. Hatuwezi kutajirika kwa hizi vijihela vya $100.
Gharama ya kurekebisha hii uharibifu ni mkubwa mno.
Mkuu ulifanikiwa kuapply ajira za ualimu?Ni swala au suala???
Ulikwenda kupimwa ulikataliwa? Kama hawapimi kwanini wanalalamika bei ya kipimia kubwa?Mtalii anayeenda Tanzania sasa hivi anajitafutia matatizo tu.
Nchi haitaki kupima watu, haitaki chanjo, haina uwazi, bado unang'ang'ania kwenda kutalii?
Wakimpiga huko ada za ajabu ajabu atalalamika?
Hili ni Janga la Dunia na si Janga la Tanzania pekee. So wataalam wa Afya waendelee kuwa walinzi wazuri wa Afya za Watanzania.Mtu mweusi anafikiria tumbo lake tu ni jinsi gani atatumia taasisi za serikali kujitengenezea pesa bila kujali maslahi mapana ya taifa lake. Sasa watalii watachukia na kupungua kuja Tanzania, wakati hapo U/ndege wakiendelea kujipigia tu.
Kwa hiyo unashangilia nchi kutotangaza idadi ya wagonjwa na unanishambulia mimi kwa kusema kukimbilia kwenda kutalii nchi isiyotangaza idadi ya wagonjwa wala kutoa chanjo ni ujinga?Ulikwenda kupimwa ulikataliwa? Kama hawapimi kwanini wanalalamika bei ya kipimia kubwa?
unataka uwazi upi huo? Umeenda wizara ya afya umekosa data? Au unataka watangaze visa? kwa faida ya nani? wanakotangaza visa corona imekwisha kwa vile wanatangaza?
Tanzania ndo nchi salama zaidi.
Kuna akili zinapatikana hapa kwetu pekee kwingine hutoziona hata hapo kwa jirani zetu zenji wanajitambua...Kinacho shangaza kwanini mtu aombee irudi badala yakuomba itokomee huko huko! Yaani binadamu sie hata sijui vichwa vyao vinanini