Mshinga
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 3,532
- 1,126
1.zanzibar-ina ikulu
2.tanzania-ina ikulu
3.tanzania bara-haina ikulu
NB:TANZANIA BARA=TANGANYIKA na tanganyika ikulu yake ndio ilichukuliwa na serikali ya muungano.
Je tutaenda kutekeleza katiba mpya chini ya kifungu kwa kuandaa katiba mpya nyingine ya tanganyika na kujenga ikulu nyingine kabla ya 2015 kama hatujaanza sasa?
2.tanzania-ina ikulu
3.tanzania bara-haina ikulu
NB:TANZANIA BARA=TANGANYIKA na tanganyika ikulu yake ndio ilichukuliwa na serikali ya muungano.
Je tutaenda kutekeleza katiba mpya chini ya kifungu kwa kuandaa katiba mpya nyingine ya tanganyika na kujenga ikulu nyingine kabla ya 2015 kama hatujaanza sasa?