Serikali tatu kumnufaisha nani kati ya wanasiasa na wananchi

delusions

JF-Expert Member
Joined
Jan 11, 2013
Posts
5,002
Reaction score
1,287
Kwa wananchi walio wengi wana matatizo lukuki hasa ya huduma za jamii hususan elimu,Maji na afya hata hawaelewi umuhimu wa serikali tatu kwa wanasiasa serkali tatu ni muhimu kwao na wanaipigania hadi jasho la Damu hivi wanasiasa wanapigania maslahi ya nani? Anayetaka serikali tatu ni nani hasa ni wananchi walio wengi itawanufaishajeitasaidia kuwapa huduma zao wanazozikosa sasa ? Dondosha maoni yako hapa
 
Serikali tatu ni msalaba mzito sana kwa walipa kodi wa inchi hii. Kuliko kuwa na serikali tatu ni vyema koloni letu Zanzibar tuliche huru ili na wao wajitawale labda watafika wanapopafikiria.
 
Zanzibar huru is comming around.
 
Ni kweli kabisa ukimwambia mwananchi achague tuwe na serikali tatu au ijengwe hospitali akachagua serikali tatu??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…