President Elect
JF-Expert Member
- Aug 9, 2011
- 693
- 212
kwa ufupi znz siyo nchi kwa mujibu wa jaji wa kesi ya hamisi machano na wenzake iliyohusu kutaka kupindua nchi.
Tanzania haipo bila ya ZNZ, ndio maana ni ngumu Tanganyika kuiacha ZNZ iende! <br><br>Tanganyika itagharimika sana muungano ukivunjika.
Unaweza kutuambia Tanganyika Bila Zanzibar itakosa nin?nin itapoteza?