Baada ya bunge la katiba kuteuliwa kumekuepo na minongono na maneno ya hapa na pale kuhusu muundo Wa serikali uliopendekezwa kwenye rasimu. Baada ya maoni kukusanywa na tume imeonekana watanzania wengi kutaka serikali tatu. Badala ya watu kushauri mfumo uwo uweje ili uwe imara kumetokea watu wanataka kutuaminisha kuwa wanajua sana eti wao kama wasomi ndo wanajaribu kuwaonesha watanzania mfumo unaofaa.! Walikua wapi wakati Wa kukusanya maoni? Mimi nafikiri kama tunataka tuwe na katiba nzuri inayokubalika na wote tukubali maoni ya wananchi yaliyo kwenye rasimu.