hp4510
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 7,235
- 7,392
Kwa kipindi sasa kuna tatizo sana kwenye ishu ya kuvuka Kigamboni.
Kuna vijana ambao wanalazimisha watu kununua Kadi au kutumia Kadi kuvuka Kigamboni.
Ni Jambo jema Ila the way linaendeshwa ndio tatizo.
Sioni sababu yoyote ya kufanya Jambo Hilo kuwa lazima, kiasi kwamba kama hauna Kadi unaambiwa ukapite darajani.
Kama hizo Kadi ni muhimu hivyo why msitoe bure? Toeni bure then watu waweke ela.
Coz hata njia yenyewe ya kuweka ela ni shida, unaweza kukuta folen kubwa ambayo haina msingi wowote watu wanagombana ishu ya Kadi.
Please Serikali hebu toeni kauli yenu.
Kuna vijana ambao wanalazimisha watu kununua Kadi au kutumia Kadi kuvuka Kigamboni.
Ni Jambo jema Ila the way linaendeshwa ndio tatizo.
Sioni sababu yoyote ya kufanya Jambo Hilo kuwa lazima, kiasi kwamba kama hauna Kadi unaambiwa ukapite darajani.
Kama hizo Kadi ni muhimu hivyo why msitoe bure? Toeni bure then watu waweke ela.
Coz hata njia yenyewe ya kuweka ela ni shida, unaweza kukuta folen kubwa ambayo haina msingi wowote watu wanagombana ishu ya Kadi.
Please Serikali hebu toeni kauli yenu.