#COVID19 Serikali toeni takwimu kwa mujibu wa mapendekezo

#COVID19 Serikali toeni takwimu kwa mujibu wa mapendekezo

brazaj

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2016
Posts
31,698
Reaction score
41,733
Inafahamika kuwa tume ya wataalamu iliyoteuliwa kushauri kuhusiana na ugonjwa huu ilitoa mapendekezo yake.

Inafahamika kuwa % kubwa ya mapendekezo ya tume hiyo yamepokelewa na yako katika hatua mbalimbali za utekelezaji.

Hata hivyo katika yote, mawili haya yangalipo yakielea angani yakiendelea kupelekea wagonjwa na vifo zaidi ambavyo aghalabu vingeweza kuepukika:

1. Kutokutolewa takwimu za ugonjwa kinyume cha mapendekezo ya tume.
2. Kukosekana kwa usimamizi kuhakikisha utekelezaji kwa yaliyopitishwa.

#1 - Inapelekea maeneo yaliyoathirika zaidi kwa hatua stahiki za tahadhari kutokufahamika.
#2 - Mikusanyiko inaendelea pasipokuwa na tahadhali za msingi kuchukuliwa.

Wizara ya afya na hasa serikali hamuwezi kujivua lawama kwa mwendelezo wa hali hatarishi zinazoendelea.

Pana maisha mengi yanapotea hali ambayo ingeweza kuzuilika.

Ifahamike serikali ina wajibu mkubwa wa kuwahami wananchi wake dhidi ya majanga likiwamo hili.
 
Hivi takwimu zinazotolewa na Viongozi ww hazikuingii kabisa??

Hivi kukinga maisha yako na kusikia takwimu kwenye masikio yako kipi cha maana kwako .

Haya subiri takwimu zingine baadae tusije tukasikia ww mwenyewe Upo kwenye mashine badala ya kutii maelekezo ya kinga

Hoja hupingwa hupingwa kwa hoja.

Takwimu zikiwamo safari kwenda na kutoka maeneo yaliyoathirika zaidi zitapungua na kuepusha watu katika hatari. Hiyo ndiyo hoja yangu. Pinga hoja hiyo kwa hoja.

kama hoja huna si unafunga bakuli lako jombi?
 
lars kwamba umekimbia kwenda kufuta utopolo wako ni jambo la kheri japo ukiwa umechelewa mno:

IMG_20210711_194223_882.jpg
 
Wewe k.enge na Corona zako humu si ujifungie ndani na mumeo mkae humo muangalie T.V hadi siku mkisikia Corona imeisha miaka 8 ijayo!?, Mbona unahangaika sana na Corona una kichaa cha kuiwaza CORONA masaa yote nini!?

Tangu Corona ianze umewahi kusikia kondakta wa daladala yeyote amekufa au kulazwa kwa Corona!?, Kumbuka anahudumia abiria zaidi ya 1000 kwa siku kwenye basi linalojaza nyomi bila barakoa wala sanitizer..

Watu wengine Corona inawafanya muonekane WAPUMBAVU. Ukitangaziwa idadi ya wagonjwa utapata nini!?, Tangu May 2020 hawatangazwi wagonjwa umepungukiwa nini!?
 
Inafahamika kuwa tume ya wataalamu iliyoteuliwa kushauri kuhusiana na ugonjwa huu ilitoa mapendekezo yake.

Inafahamika kuwa % kubwa ya mapendekezo ya tume hiyo yamepokelewa na yako katika hatua mbalimbali za utekelezaji...
Takwimu za Corona ni useless , kwani baada ya kuwa na faida zinazidi kuwajaza watu hofu isiyo na msingi.
 
Wewe k.enge na Corona zako humu si ujifungie ndani na mumeo mkae humo muangalie T.V hadi siku mkisikia Corona imeisha miaka 8 ijayo!?, Mbona unahangaika sana na Corona una kichaa cha kuiwaza CORONA masaa yote nini!?, Tangu Corona ianze umewahi kusikia kondakta wa daladala yeyote amekufa au kulazwa kwa Corona!?, Kumbuka anahudumia abiria zaidi ya 1000 kwa siku kwenye basi linalojaza nyomi bila barakoa wala sanitizer.. Watu wengine Corona inawafanya muonekane WAPUMBAVU. Ukitangaziwa idadi ya wagonjwa utapata nini!?, Tangu May 2020 hawatangazwi wagonjwa umepungukiwa nini!?

Huna hoja. Nikikuita kenge nitakuwa nimefanana na wewe kwa uduni wa akili.

Hujaitwa JF wala kwenye huu uzi.

Kama huna hoja funga bakuli lako ubakie na m@vi yako.
 
Halafu acha u.k.uma wa kuwa unazungushia zungushia uliyoyaandika mwenyewe ni tabia za kitoto. Kuwa kama mtu uliyeelimika hata Kama elimu yako ni ndogo.
Huna hoja sina haja ya kukutukana maana nitafanana nawe 😂😂😂😂

Wewe baki na m@vi yako.
 
Huna hoja. Nikikuita kenge nitakuwa nimefanana na wewe kwa uduni wa akili.

Hujaitwa JF wala kwenye huu uzi.

Kama huna hoja funga bakuli lako ubakie na m@vi yako.
Hujishtukii kuwa watu wameshapuuza threads zako za Corona? Wewe ni MPUMBAVU fulani usiye na akili. Tangu April mwaka jana umekomaa na Corona na lockdown.

Ulivyo na akili finyu na kumbukumbu ndogo kipindi cha kampeni za Lissu ukaacha kuongelea Corona na madhara ya mikusanyiko ukampigia Lissu kampeni, baadae ukarudi tena na Corona zako. Upeo wako ni mdogo sana ndo maana nikakuita k.enge.

Kama unaipenda sana Corona jifungie ndani na mumeo. Inaonekana aidha unalishwa na mumeo, au unakaa kwa shemeji yako. Mwanaume anayejitafutia hawezi kukaa anaogopa Corona na kuanzisha threads za CORONA masaa yote humu.
 
Huna hoja sina haja ya kukutukana maana nitafanana nawe 😂😂😂😂

Wewe baki na m@vi yako.
Kukaa unadai takwimu za wagonjwa wa Corona ndo hoja!?.. Thinking capacity yako ipo chini sana. Lazima wawepo watu wa kuwaambia ukweli WAPUMBAVU kama wewe.
 
Takwimu za Corona ni useless , kwani baada ya kuwa na faida zinazidi kuwajaza watu hofu isiyo na msingi.

Takwimu za Corona ni za muhimu, labda si kwa wapiga nyungu wabobezi kwenye malimao, michai chai, mikaratusi nk.

Tukijua ugonjwa uliko zaidi, kuna haja gani huko kukusanya watu na mbio za mwenge? Au hata kufanya mikutano ya hadhara barabarani?

Tukijua kuliko na ugonjwa zaidi kwanini kusafiri kwenda au kutoka huko? Huku kutaokoa maisha ambayo aghalabu yasingepotea.

Kuna faida nyingi kujua hali halisi ilivyo ndiyo maana tume ya wataalamu wabobezi ililiona hilo na kuishauri hivyo kisayansi.
 
Takwimu za Corona ni za muhimu, labda si kwa wapiga nyungu wabobezi kwenye malimao, michai chai, mikaratusi nk.

Tukijua ugonjwa uliko zaidi, kuna haja gani huko kukusanya watu na mbio za mwenge? Au hata kufanya mikutano ya hadhara barabarani?...
Ovyo. Jifukie chini ya aridhi ndo hutaipata best. Duniani maradhi kibao. Sie wengine tuacheni tu
 
Corona naiona tunapambana nayo but in our own ways, tunachukua hatua zile tunazochagua sisi kama kuepuka kujaza hiace (level seat- Dodoma) na nyingine kama kunawa kwa maji tiririka, na sanitizer pamoja na kuvaa barakoa.

Lakini kuna njia nyingine bado naona tunazikwepa, kama isolation, huko masokoni, kwenye daladala, na kwenye nyumba za ibada bado kuna misongamano,

Sasa kwa mtindo huu wa kuchagua njia zetu za kujikinga sidhani kama Corona itaisha, mi naona badala ya kupambana na Corona, sisi tunacheza nayo.
 
Ovyo. Jifukie chini ya aridhi ndo hutaipata best. Duniani maradhi kibao. Sie wengine tuacheni tu

Wengine tuna haki ya kujua kuliko na matatizo ili tusiende huko. Au kama tuko kuliko na matatizo tusiyapeleke kwingine.

Kama kuishi kama nyumba kwako ni haki yako, si kila mtu wewe m@vi yako.
 
Kwani mkopo wa korona bei gani jamani mbn tunatesana hivi tena! Si tulipe tu kodi tutazipata, au miamala ya simu na mafuta Bado havitoshi?!
Mnatuchosha.

Wapi unasoma neno mkopo? Au ni mwendo wa mateja kudhani yako na mshikaji wao Obama

Unachoshwa kwani wewe nani? Mkopo upi mbona serikali imeshauriwa iachane na mikopo yote ili mfurahie maisha?

IMG_20210706_203616_157.jpg


Hoja yako iko wapi?

Huna hoja funga bakuli jombi!
 
Kukaa unadai takwimu za wagonjwa wa Corona ndo hoja!?.. Thinking capacity yako ipo chini sana. Lazima wawepo watu wa kuwaambia ukweli WAPUMBAVU kama wewe.

Wewe thinking capacity huna bora mbuzi.

Nina hata haja ya kukuonyesha degree yako ya upumbavu ilivyo?
 
Corona naiona tunapambana nayo but in our own ways, tunachukua hatua zile tunazochagua sisi kama kuepuka kujaza hiace (level seat- Dodoma) na nyingine kama kunawa kwa maji tiririka, na sanitizer pamoja na kuvaa barakoa....

Vyawa kazini na vi ID vya KIMKAKATI hawatapata nafasi ya kutunyamazisha, huku hatari tukiiona bayana.

Kwenye red ni maeneo ya msingi ambayo pana watu siku moja watajibikaji tu na vifo vya watu wasiokuwa na hatia:

IMG_20210711_202045_978.jpg


Kwenye maisha ya watu kuwaachia mustakabala huo wajinga haiwezi kuwa option.

Kiungwana, hoja hupingwa kwa hoja.
 
Wapi unasoma neno mkopo? Au mwendo wa mateja kudhani yako na mshikaji wao Obama

Unachoshwa kwani wewe nani? Mkopo upi mbona serikali imeshauriwa iachane na mikopo yote ili ufurahie maisha?

View attachment 1849906

Hoja yako iko wapi?

Huna hoja funga bakuli jombi!
Hujui kitu tulia tu
 
Ndo maana nikakuita K.enge wewe, kazi kuzungushia zungushia tu. Ila nina uhakika hata mume wako amewahi kukueleza ukweli kwamba upeo wako wa kufikiri upo chini sana. Hilo sina shaka nalo. Viongozi wa serikali wanazuga wapewe pesa za mkopo Ila wewe bado ulivyo pimbi hujashtuka mpaka Sasa. Mtaani maisha yanaendelea kama kawaida.

Mimi sina haja ya kukuita kenge maana kenge ana nafuu kuliko wewe. ID yako hii insongea mengi kuhusiana wewe na bado hututishi!

IMG_20210711_200338_967.jpg


Mnajulikana wapinga vita dhidi ya ugonjwa huu kuwa ni wale vyawa wa yule bwana aliyepumzika zake kule Geita baada ya wimbi II kufanya yake.

Wewe bila shaka ni sungu sungu, mpiga debe, kibaka, machinga, na wa namna hiyo. Bila shaka unapinga pia uwepo wa katiba mpya:

IMG_20210711_205649_038.jpg


Hatuwezi kuwasabiria maisha yetu watu kama nyie ambao ni wazi kuwa ni mijamaa isiyoelimika wala haina kujua thamani ya maisha ya binadamu.

Habari ndiyo hiyo.
 
Back
Top Bottom