#COVID19 Serikali toeni takwimu kwa mujibu wa mapendekezo

Hujui kitu tulia tu
Mwenye kujua utakuwa wewe?

Kwenye red kunakuhusu:



Tunawajua vyema na hamtutishi. Kama legacy nendeni mkakae lindo Geita.
 
Huyo
Huyo mwehu alishakula vya watu,anahangaika kweli na Corona
Mpaka anatulia huruma,siku akisikia haipo anaweza jinyonga.
 
Huyo

Huyo mwehu alishakula vya watu,anahangaika kweli na Corona
Mpaka anatulia huruma,siku akisikia haipo anaweza jinyonga.

Waambieni wanaowatuma kuwa vi ID vyenu mnavyoita vya KIMKAKATI tunavijua:



Tunajua unapinga pia katiba mpya.

Kwamba wewe ni chawa wa mwendazake.

Kuna nilichobakiza kuhusu wewe?
 
Uzi uko imara.

Wimbi la wenye vi ID kama vyako tunalijua na wanaowatuma tunawajua.




Kwamba mnaangukia kwenye wigo huu:



The rest you can tell it to the birds!

Cc: BAK Mwifwa Extrovert Erythrocyte
 
Kwa mtu kama mimi ambaye ni layman perce, huu ugonjwa wa COVID-19 unaoenakana uko tofauti kabisa na magonjwa mengine ambayo tulishawahi kuyaona huko nyuma. Ukisema ufuate taratibu zake za kujikinga nao sawa sawa kabisa kama inavyotakiwa kitaalamu , NDIO UNAUONGEZA NA KUUCHOCHEA. Jaribu kuangalia takwimu kwenye nchi ambazo hapo awali waliamua kufuata masharti yake yote kama inavyotakiwa, uone namna COVID-19 ilivyokuja kuwatandika pamoja na kufuata kwao masharti ya kujikinga, hadi imepelekea mpaka wakalegeza kabisa masharti ya kujikinga. Huu ugonjwa nadhani unafanya kazi zaidi kwa kupitia saikolojia za watu. Kadri watu wanavyozidi kuwa kwenye tahadhari kubwa, ndivyo kadri COVID-19 inavyozidi kuwashambulia zaidi.
 

[emoji1376]
 

Kwamba ugonjwa ni mpya? Hilo ni kweli.

Kwamba tunaweza kupuuza ya wataalamu? Hilo hapana.

Kwamba kwingine wamechapwa na ugonjwa huu kuliko sisi? Bila takwimu sahihi unajuaje hali yetu katika wakati wowote?

Kwani wewe una taarifa ya yeyote aliyekuwa mhanga wa ugonjwa huu zaidi ya nduguye Mbowe?

Kwamba kwa vile wewe halija kupata hadi sasa ndiyo udhani kuwa halipo?

Tuache mzaha wakuu.
 
Takwimu iulizonazo kwenye mtaa unaoishi wewe mwenyewe zinasemaje? Je, takwimu za watu ulio karibu nao ambao hukai nao mtaa mmoja, wao nao wanasemaje? Unadhani wa-Tanzania ni wajinga mno kiasi kwamba wanaweza kuishi kwenye mazingira ambayo wanapukutika kwa ugonjwa na wasijue?
Hoja yangu hapa siyo kwamba napinga njia za kitaalamu za kujinga na CORONA hapana, isipokuwa nashauri njia za kitaalamu ambazo siyo STRICT. Kwa mfano, waliokuwa na LOCKDOWN, sasa hivi unawaona bado wanaendelea na hizo lockdown?
 

Waliokuwa na lockdown wengine wameshachanja watu wao 60% kwenda juu na 100% ya waliokuwa hatarini zaidi. Unataka kujilinganisha na hao? Kwani kwenu %ngapi wamechanjwa?

Kwanini takwimu kwetu hazitolewi? Ulishawahi kujiuliza hilo? Kama wagonjwa au vifo hamna basi tatizo nini?


Wagonjwa na vifo ni vingi:


Fika hospitali eneo ulilopo kama utaingia bila barakoa.

Hujishangai kuwa na hoja juu ya hoja za wataalamu mkuu?
 
Un
Waambieni wanaowatuma kuwa vi ID vyenu mnavyoita vya KIMKAKATI tunavijua:

View attachment 1849980

Tunajua unapinga pia katiba mpya.

Kwamba wewe ni chawa wa mwendazake.

Kuna nilichobakiza kuhusu wewe?
Unadhani Mimi Nina kazi ya kushinda mtandaoni Kama wewe,hapa ni sehemu ya mapumuziko,wewe si ndo inakulisha komaa.🤩🤩🤩
 

Vipi jombi hujishangai bado?
 
Huyo

Huyo mwehu alishakula vya watu,anahangaika kweli na Corona
Mpaka anatulia huruma,siku akisikia haipo anaweza jinyonga.

Vipi mwehu atakuwa keshafahamika sasa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…