GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Anaweza akawa wala masikini ya Mungu hana baya kwa Rasilimali za Tanzania, za Watanzania na siyo Fisadi au Opportunist na hajamweka Mtu Mfukoni mwake ila kwakuwa Siku hizi anaonekana kila mara ( utadhani Wachezaji wa Kiungo wa Yanga SC akina Max Zengeli na Pakome Zouzou ) si vibaya Watanzania ( GENTAMYCINE ) nikiwemo tukaelezwa Kiundani na Kiufafanuzi ni ipi Role yake hasa kwa Viongozi wa Nchi hadi anapewa Kipaumbele, Anaogopeka, Ananyenyekewa na Analindwa sana?
Poti wangu kutoka Kwetu kwa Wanamume na Mashujaa tupu Mkoani Mara Mobhare Matinyi ( Msemaji wa Serikali ) najua upo hapa JamiiForums ( nimethibitishiwa hili ) japo hutumii Verified Account kwa Unyali ( Uwoga ) na huwa Unanisoma mno GENTAMYCINE hapa hivyo naamini utakuja Kunijibu kwa Niaba ili kuwatoa Hofu Watanzania wengi Wenye Akili Kubwa ambao Wanalihoji hili, linawapa Wasiwasi na tayari wameshaanza Kuhisi mengineyo.
Poti wangu kutoka Kwetu kwa Wanamume na Mashujaa tupu Mkoani Mara Mobhare Matinyi ( Msemaji wa Serikali ) najua upo hapa JamiiForums ( nimethibitishiwa hili ) japo hutumii Verified Account kwa Unyali ( Uwoga ) na huwa Unanisoma mno GENTAMYCINE hapa hivyo naamini utakuja Kunijibu kwa Niaba ili kuwatoa Hofu Watanzania wengi Wenye Akili Kubwa ambao Wanalihoji hili, linawapa Wasiwasi na tayari wameshaanza Kuhisi mengineyo.