Serikali, tufanye nini kupata mbolea ya kukuzia wilayani Kakonko?

Serikali, tufanye nini kupata mbolea ya kukuzia wilayani Kakonko?

Kabende Msakila

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2020
Posts
1,809
Reaction score
1,692
Serikali yetu ishukuriwe kwa mbolea ya ruzuku hususan ya kupandia iloletwa hapa wilayani Kakonko mwaka huu.

Tuliipokea kwa kishindo lkn sasa changamoto kubwa ni mbolea ya kukuzia ambayo imecheleweshwa huku mimea ikiendelea kukua.

Swali:
Tufanyeje kupata mbolea ya kukuzia hapa wilayani Kakonko?
 
Serikali yetu ishukuriwe kwa mbolea ya ruzuku hususan ya kupandia iloletwa hapa wilayani Kakonko mwaka huu.

Tuliipokea kwa kishindo lkn sasa changamoto kubwa ni mbolea ya kukuzia ambayo imecheleweshwa huku mimea ikiendelea kukua.

Swali:
Tufanyeje kupata mbolea ya kukuzia hapa wilayani Kakonko?
Hujui cha kufanya ila muda wa kusifia ujinga unaupata, haya sasa nenda kanunue kwa hela yako ili ujue faida ya kuwa chawa
 
Back
Top Bottom