Kabende Msakila
JF-Expert Member
- Oct 7, 2020
- 1,809
- 1,692
Serikali yetu ishukuriwe kwa mbolea ya ruzuku hususan ya kupandia iloletwa hapa wilayani Kakonko mwaka huu.
Tuliipokea kwa kishindo lkn sasa changamoto kubwa ni mbolea ya kukuzia ambayo imecheleweshwa huku mimea ikiendelea kukua.
Swali:
Tufanyeje kupata mbolea ya kukuzia hapa wilayani Kakonko?
Tuliipokea kwa kishindo lkn sasa changamoto kubwa ni mbolea ya kukuzia ambayo imecheleweshwa huku mimea ikiendelea kukua.
Swali:
Tufanyeje kupata mbolea ya kukuzia hapa wilayani Kakonko?