Serikali tulipeni fedha zetu sisi watumishi muliotunyima mshahara wa Machi

Serikali tulipeni fedha zetu sisi watumishi muliotunyima mshahara wa Machi

Mwamuzi wa Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2020
Posts
15,486
Reaction score
45,256
Mbona wabunge wanalipwa bila mapingamizi yoyote. Wakistaafu wabunge pesa zao hazina mizunguko wanapewa cash zote.

Mbona munaleta uonevu kwa watumishi kwa visingizio vidogo vidogo? Mishahara yenyewe ya watumishi ni kiduchu, ukipata inadumu siku 5 tu inaisha. Sasa tangu tulipwe tarehe 23 mwezi Febuari na sasa Aprili tuishi vipi?
Au twende na kauli mbiu ya mama ya kula kwa urefu wa kamba zetu?

Mtumishi aliyenyimwa mshahara akipata mpenyo wa kuiba pesa au mali za umma mnadhani atauacha huo mpenyo? Ikitokea takrima munadhani ataiacha?

Kwa ustawi wa Taifa ni vyema mutupatie hiyo haki yetu. Tunajua ni pesa ndogo lakini tupeni vivyo hivyo tuitumie siku 3 iishe tuwaze mengine.
 
Kama unaweza kuiba s erikalin we iba kama mwalim ss sijui utaiba wapi na ww inaonekana mwalim sa sijui itakuwaje
Mimi si mwalimu.
Kwa nafasi yangu ninaweza kupata hata milioni 100 za dhuluma ila kesi lazima isikilizwe .
Ila vilaki 5 au milioni naweza kuvipata bila mtu kujua.
Nalilia tu haki yangu halali ya mshahara
 
Mbona wabunge wanalipwa bila mapingamizi yoyote. Wakistaafu wabunge pesa zao hazina mizunguko wanapewa cash zote.

Mbona munaleta uonevu kwa watumishi kwa visingizio vidogo vidogo? Mishahara yenyewe ya watumishi ni kiduchu, ukipata inadumu siku 5 tu inaisha. Sasa tangu tulipwe tarehe 23 mwezi Febuari na sasa Aprili tuishi vipi?
Au twende na kauli mbiu ya mama ya kula kwa urefu wa kamba zetu?

Mtumishi aliyenyimwa mshahara akipata mpenyo wa kuiba pesa au mali za umma mnadhani atauacha huo mpenyo? Ikitokea takrima munadhani ataiacha?

Kwa ustawi wa Taifa ni vyema mutupatie hiyo haki yetu. Tunajua ni pesa ndogo lakini tupeni vivyo hivyo tuitumie siku 3 iishe tuwaze mengine.
Ukitaka haki Yako siku hizi lazima tu,ni lazima sana tena sana utoe chochote ,hata kama ni haki Yako lazima kirushwa kipite ndo utaipata haki yako tena kwa usumbufu pamoja na kutoa chochote,labda ujuane nao napo watakulamba tu bila huduma,bila hivyo wewe endelea kulia tu
 
Ukitaka haki Yako siku hizi lazima tu,ni lazima sana tena sana utoe chochote ,hata kama ni haki Yako lazima kirushwa kipite ndo utaipata haki yako tena kwa usumbufu pamoja na kutoa chochote,labda ujuane nao napo watakulamba tu bila huduma,bila hivyo wewe endelea kulia tu
Haya.
Watupige tu
 
Mbona wabunge wanalipwa bila mapingamizi yoyote. Wakistaafu wabunge pesa zao hazina mizunguko wanapewa cash zote.

Mbona munaleta uonevu kwa watumishi kwa visingizio vidogo vidogo? Mishahara yenyewe ya watumishi ni kiduchu, ukipata inadumu siku 5 tu inaisha. Sasa tangu tulipwe tarehe 23 mwezi Febuari na sasa Aprili tuishi vipi?
Au twende na kauli mbiu ya mama ya kula kwa urefu wa kamba zetu?

Mtumishi aliyenyimwa mshahara akipata mpenyo wa kuiba pesa au mali za umma mnadhani atauacha huo mpenyo? Ikitokea takrima munadhani ataiacha?

Kwa ustawi wa Taifa ni vyema mutupatie hiyo haki yetu. Tunajua ni pesa ndogo lakini tupeni vivyo hivyo tuitumie siku 3 iishe tuwaze mengine.
Wasiliana na Pdiddy akufidie.
 
Back
Top Bottom