Joan lewis
JF-Expert Member
- Jan 3, 2019
- 993
- 1,463
Wasalaam, Wana jukwaa. Kufuatia hiki kizungumkuti Cha Idadi kubwa ya waalimu wasio na ajira hata kuelekea kuunda chama chao, huku kukiwa na Idadi kubwa ya upungufu wa waalimu kwa mashule mengi yaliyojengwa Kila Kona ambapo inatajwa upungufu huo ni 276,000 na walioko Mtaani 146,000 🙃🙃.
Tumieni nafasi hii mnayotangaza Kila miezi mitatu kuwa makusanyo ya Kodi yanaongezeka mpk 200% sometimes, (NETO wakimnukuu Mhe Rais samia kwamba ajira zinatolewa kwa hesabu ya ratio inayopigwa kulingana na ongezeko la makusanyo ya Kodi) {wage load}
kadhalika na nafasi ya Mhe. Jakaya mrisho kikwete kama mwenyekiti jukwaa la elimu Duniani (mwafrika wa kwanza kukalia kiti hicho) kuondoa hili Dubwana linalofukuta maana fursa na wakati havidumu milele.
Hata kama hili tatizo lilianza awamu za kabla nashauri Liangaliwe. Dawa ya kidonda ni kukiosha na kufunga sio kukipaka mafuta.
Wasalaam.
Tumieni nafasi hii mnayotangaza Kila miezi mitatu kuwa makusanyo ya Kodi yanaongezeka mpk 200% sometimes, (NETO wakimnukuu Mhe Rais samia kwamba ajira zinatolewa kwa hesabu ya ratio inayopigwa kulingana na ongezeko la makusanyo ya Kodi) {wage load}
kadhalika na nafasi ya Mhe. Jakaya mrisho kikwete kama mwenyekiti jukwaa la elimu Duniani (mwafrika wa kwanza kukalia kiti hicho) kuondoa hili Dubwana linalofukuta maana fursa na wakati havidumu milele.
Hata kama hili tatizo lilianza awamu za kabla nashauri Liangaliwe. Dawa ya kidonda ni kukiosha na kufunga sio kukipaka mafuta.
Wasalaam.