Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
Habari!
Inafika wakati unajiuliza nchi hii ni Serikali kamili na Ina uongozi kamili?
Una fedha bank unataka upate huduma mahali kupitia simu unaweka codes mfano *150*03# au *150*66# unabonyeza ok unaambiwa utakatwa pesa kwenye Salio la kawaida.
Je, nikitaka kununua Salio (airtime) niweke salio tena ili ninunue Salio?
Je, kama niko porini inakuwaje?
Huu sio uwendawazimu?
Hili jambo lilianza miaka mingi ila kuna mitandao kama walituacha tuingie free tukakatwe tu na mabenki ila sasa naona karibu mitandao yote wembe ni uleule
Inafika wakati unajiuliza nchi hii ni Serikali kamili na Ina uongozi kamili?
Una fedha bank unataka upate huduma mahali kupitia simu unaweka codes mfano *150*03# au *150*66# unabonyeza ok unaambiwa utakatwa pesa kwenye Salio la kawaida.
Je, nikitaka kununua Salio (airtime) niweke salio tena ili ninunue Salio?
Je, kama niko porini inakuwaje?
Huu sio uwendawazimu?
Hili jambo lilianza miaka mingi ila kuna mitandao kama walituacha tuingie free tukakatwe tu na mabenki ila sasa naona karibu mitandao yote wembe ni uleule