Pamoja na kwamba ukuaji na ueneaji wa Magodown ni ishara ya ukuaji wa shughuli za kiuchumi na uongezekaji wa vipato na ukusanyaji kodi kwa Serikali lakini usiporatibiwa vizuri unaweza kuleta ugumu na ukali wa maisha kwa wananchi na pia unaweza ukapunguza kwa asilimia kubwa ukusanyaji wa kodi hasa ile kodi inayopatikana kutokana na mtu anaponunua bidhaa maana mfumuko wa bei unaweza ukapelekea kupunguza wanunuzi wa bidhaa ambao ndio wengi zaidi na hivyo kupunguza kodi
Mfumuko huu unasabaishwa na baadhi ya wamiliki wengi wa Magodown(maghala) wasio na nia njema ambao huzinunua kwa wingi kutoka viwandani au nje ya nchi na kuzitoa kidogo kidogo kwa wahitaji ili zionekane Upatikanaji wake ni ADIMU au Mgumu Mwisho wa siku bei yake inapanda sana, Sasa naiomba Serikali iangalie sana kama je kuna mbinu chafu za wamiliki wa maghala au Je wanashirikiana na Makampuni yanayozalisha kupunguza uzalishaji kwa makusudi ili mfumuko wa bei utokee.
ASANTENI.
Mfumuko huu unasabaishwa na baadhi ya wamiliki wengi wa Magodown(maghala) wasio na nia njema ambao huzinunua kwa wingi kutoka viwandani au nje ya nchi na kuzitoa kidogo kidogo kwa wahitaji ili zionekane Upatikanaji wake ni ADIMU au Mgumu Mwisho wa siku bei yake inapanda sana, Sasa naiomba Serikali iangalie sana kama je kuna mbinu chafu za wamiliki wa maghala au Je wanashirikiana na Makampuni yanayozalisha kupunguza uzalishaji kwa makusudi ili mfumuko wa bei utokee.
ASANTENI.