Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni U/Taifa,confirmedSasa mechi ya kesho, Azam vs Simba inafanyika Uhuru au Taifa?
Vv
Mkuu wewe umeshajenga nyumba?Sijapenda maana serikali ndio inawadekeza hawa jamaa wasijenge viwanja vyao, wataharibu na wataomba msamaha
Usiseme mashabiki wa bongo, sema wa simbaMapatooo mapatoooo
Watu walikuwa wana lala njaa.
Ila na washabiki wa bongo tuwe wa staarab bas
HahahaaUsiseme mashabiki wa bongo, sema wa simba
Ninayo maana nilikuwa na malengo,nia na uthubutu lakini hizi timu hazina a wala b hata viwanja vya mazoezi tabu tupu,tuwe tunaandika ukweli mkuuMkuu wewe umeshajenga nyumba?
Geti limevunjwa na washabiki wa timu zote.... Hadi wa Lipuli.. ila viti ni simba pekeeHahahaa
Lakin wa Yanga nao si walivunja geti ati!?