Serikali waambieni viongozi wa dini kuwa watekaji ni waumini wao waliowashidwa kwenye dini zao, waache kunyoshea vidole polisi pekee

Serikali waambieni viongozi wa dini kuwa watekaji ni waumini wao waliowashidwa kwenye dini zao, waache kunyoshea vidole polisi pekee

Shotocan

JF-Expert Member
Joined
Nov 21, 2023
Posts
6,650
Reaction score
12,711
Viongozi wa dini ndio walezi wa kiroho na maadili wa Watanzania.

Siku za hivi karibuni waneanza kunyooshea vidole polisi kuwa hawawezi kazi kupambans na watekaji na kujifanya kusikitishwa sanaaaaa usanii mtupu huo.

Serikali waambieni viongozi wa dini kuwa watekaji ni waumini wao waliowashidwa kwenye dini zao waache kunyoshea vidole polisi.

Wao huko kwenye dini zao wamewashindwa kuwaweka sawa kiroho na kimaaadili leo wanajitia wao ohhh lawama zote kwa serikali na polisi na wao kujiona watakatifu.

Viongozi wanatakiwa kujitathmini kuwa wanalea waumini kisawasawa au la hadi wanakamatwa kwa ubakaji utekaji, ujambazi nk.

Sioni mantiki ya viongoxi wa dini kujifanya vinara wa kushambulia serikali wakati wao pia ni sehemu ya kuilea jamii kiroho na kimaadili.

Waache mihemko ya kuambiwa na wewe kiongozi wa dini toa tamko la kulaani serikali na kiongozi anainuka kama mwehu kulaani bila tafakuri ya kina.
 
Unaweza kuwa na point, je ni nani anayewatuma? Au tujiulize hivi, kweli ni waumini wao waliowashindwa? Kwa hiyo una maanisha kwamba serikali inawajua watekaji na dini zao? Kwanini haiwashughulikii? Yaani jamii ilalamike na serikali nayo ilalamike?
 
Viongozi wa dini ndio walezi wa kiroho na maadili wa watanzania

Siku za hivi karibuni waneanza kunyooshea vidole polisi kuwa hawawezi kazi kupambans na watekaji na kujifanya kusikitishwa sanaaaaa usanii mtupu huo

Serikali waambieni viongozi wa dini kuwa watekaji ni waumini wao waliowashidwa kwenye dini zao waanche kunyoshea vidole polisi

Wao huko kwenye dini zao wamewashindwa kuwaweka sawa kiroho na kimaaadili leo wanajitia wao ohhh lawama zote kwa serikali na polisi na wao kujiona watakatifu

Viongozi wanatakiwa kujitathmini kuwa wanalea waumini kisawasawa au la hadi wanakamatwa kwa ubakaji utekaji, ujambazi nk

Sioni mantiki ya viongoxi wa dini kujifanya vinara wa kushambulia serikali wakati wao pia ni sehemu ya kuilea jamii kiroho na kimaadili

Waache mihemko ya kuambiwa na wewe kiongozi wa dini toa tamko la kulaani serikali na kiongozi anainuka kama mwehu kulaani bila tafakuri ya kina
Viongozi wa dini Wana haki ya kuinyoshea kidole Serikali.

Wajibu Mkuu kabisa wa Serikali yoyote ile hapa duniani ni kulinda usalama wa watu waliopo kwenye nchi husika. Sasa Kama Serikali haitekelezi wajibu wake huo wa msingi Basi hakuna sababu hata moja ya Serikali hiyo kuendelea kuwepo madarakani. Serikali iliyoshindwa kulinda usalama wa Watu wake ni Serikali iliyokufa, hivyo inakosa uhalali wa kuweza kuendelea kuwepo.
 
Masauni na IGP bado hawajajiuzulu tu??
Waanze maaskofu ,mashehe na mapadre ambao viongozi wao au waumini wao walishawahi shikwa kwa makosa yeyote na kwenda gerezani

Magereza yamejaa waumini wao mbona hawajajiuzuru kuwa kazi ya kuwalea kiroho na kimaadili imewashinda
 
Unaweza kuwa na point, je ni nani anayewatuma?
Au tujiulize hivi, kweli ni waumini wao waliowashindwa? Kwa hiyo una maanisha kwamba serikali inawajua watekaji na dini zao? Kwanini haiwashughulikii? Yaani jamii ilalamike na serikali nayo ilalamike?
Nenda magerezani kesi mfano geita kuna albino alitekwa kauawa .Padre kadakwa kwenye hiyo kesi .Huyo padre hawajui dini yake Si ni padre wao?

Utasema huyo padre hawamjui kama wa dini yao?
 
Viongozi wa dini Wana haki ya kuinyoshea kidole Serikali
Wao je viongozi wa dini je? Serikali haina haki kuwanyooshea vidole kwa wao viongozi wa dini kushindwa kuwalea waumini wao kiroho na kimaadili hadi kusababisha usumbufu kwa serikali?
 
Waanze maaskofu ,mashehe na mapadre ambao viongozi wao au waumini wao walishawahi shikwa kwa makosa yeyote na kwenda gerezani

Magereza yamejaa waumini wao mbona hawajajiuzuru kuwa kazi ya kuwalea kiroho na kimaadili imewashinda
Na wengine wanakutwa kabisa na viungo vya binadamu,,hao watoto na watu wazima wanaotekwa wakatumike na waganga wao wengine kwenye huo mnyororo ni haohao watu wa dini
 
Serikali Haina dini, Serikali ni wananchi, maana yake wananchi hawana dini. Wachungaji ni wasimamizi wa dini. Mkanganyiko
 
Nenda magerezani kesi mfano geita kuna albino alitekwa kauawa .Padre kadakwa kwenye hiyo kesi .Huyo padre hawajui dini yake Si ni padre wao?
Katika mamia ya matukio ambayo yameshatokea, kukamatwa Padre mmoja katika tukio moja kati ya hayo mamia ndiyo unataka walaumiwe viongozi wa dini ili kuwaficha hao mamia wengine? Unataka kuwasitili watuhumiwa wengine wa uharifu wakiwemo viongozi wa vyombo vya usalama!?
 
Niliona kwenye mitandao ya kijamii wanasema Mafwele ni kiongozi kanisa moja Mikocheni.
 
Viongozi wa dini ndio walezi wa kiroho na maadili wa watanzania

Siku za hivi karibuni waneanza kunyooshea vidole polisi kuwa hawawezi kazi kupambans na watekaji na kujifanya kusikitishwa sanaaaaa usanii mtupu huo

Serikali waambieni viongozi wa dini kuwa watekaji ni waumini wao waliowashidwa kwenye dini zao waanche kunyoshea vidole polisi

Wao huko kwenye dini zao wamewashindwa kuwaweka sawa kiroho na kimaaadili leo wanajitia wao ohhh lawama zote kwa serikali na polisi na wao kujiona watakatifu

Viongozi wanatakiwa kujitathmini kuwa wanalea waumini kisawasawa au la hadi wanakamatwa kwa ubakaji utekaji, ujambazi nk

Sioni mantiki ya viongoxi wa dini kujifanya vinara wa kushambulia serikali wakati wao pia ni sehemu ya kuilea jamii kiroho na kimaadili

Waache mihemko ya kuambiwa na wewe kiongozi wa dini toa tamko la kulaani serikali na kiongozi anainuka kama mwehu kulaani bila tafakuri ya kina
Roho mbele ya mali? Wabunge na wanasiasa iwe kazi ya kujitolea uone kama mambo hayo yatakuwepo.
 
Unaweza kuwa na point, je ni nani anayewatuma?
Au tujiulize hivi, kweli ni waumini wao waliowashindwa? Kwa hiyo una maanisha kwamba serikali inawajua watekaji na dini zao? Kwanini haiwashughulikii? Yaani jamii ilalamike na serikali nayo ilalamike?
KWA NINI UKUBARI KUTUMWA KUFANYA MABAYA KAMA ROHONI UKO NA MUNGU
 
Viongozi wa dini ndio walezi wa kiroho na maadili wa watanzania

Siku za hivi karibuni waneanza kunyooshea vidole polisi kuwa hawawezi kazi kupambans na watekaji na kujifanya kusikitishwa sanaaaaa usanii mtupu huo

Serikali waambieni viongozi wa dini kuwa watekaji ni waumini wao waliowashidwa kwenye dini zao waanche kunyoshea vidole polisi

Wao huko kwenye dini zao wamewashindwa kuwaweka sawa kiroho na kimaaadili leo wanajitia wao ohhh lawama zote kwa serikali na polisi na wao kujiona watakatifu

Viongozi wanatakiwa kujitathmini kuwa wanalea waumini kisawasawa au la hadi wanakamatwa kwa ubakaji utekaji, ujambazi nk

Sioni mantiki ya viongoxi wa dini kujifanya vinara wa kushambulia serikali wakati wao pia ni sehemu ya kuilea jamii kiroho na kimaadili

Waache mihemko ya kuambiwa na wewe kiongozi wa dini toa tamko la kulaani serikali na kiongozi anainuka kama mwehu kulaani bila tafakuri ya kina


WEWE BWEGE SANA. SASA HAO POLICE NI WATU GANI? NA WAUMINI NI WATU GANI? YAANI SAWA NA USEME SISIEMU NI WAUAJI ACHENI KULALAMIKIA WATANZANIA PEKE YAO.
 
Niliona kwenye mitandao ya kijamii wanasema Mafwele ni kiongozi kanisa moja Mikocheni.
Possibly true, kuna Askofu fulani hivi wa dhehebu moja amepandikiziwa mamluki kwenye Ofisi yake ili aweze ku-monitor huyo Askofu. Huyo mamluki ni mtu ambaye anaaminika Sana kwenye hilo dhehebu hadi amepewa Cheo cha Askofu Msaidizi kumbe ni nyoka hatari sana kwenye dhehebu hilo.
 
Ukiona uozo katika jamii viongozi wa dini pia wanahusika kwa kutowalea waumini wao vizuri kiroho na kimaadili

Wao ni sehemu pia ya huo uozo

Sijui kwa nini wanapenda kusukumia zigo serikali tu utafikiri wao kazi yao kula sadaka tu
 
Back
Top Bottom