Serikali wakimbukeni waalimu mlio wapeleka katika mazingira magumu

Mgumuink

Member
Joined
Jun 17, 2013
Posts
70
Reaction score
8
Ndg zangu waalimu,
Ni juzi tu tumesikia kwamba serikali imeandaa zaidi ya billioni 1 na mil 60 kwa ajili ya kuhakikisha Tundu lisu haungani na UKAWA katika jitihada zao za kulikomboa taifa hili.
Hembu tujiulize masikini wenzangu, pesa hizo zingetumika kuwafariji waalimu waliotelekezwa katika mazingira magumu, serikali hii ingepungukiwa na nini? Mpango wao wa BRN usingefanikiwa????
 
Tatizo letu talalila nyiiingi vitendo hakuna...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…