Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 48,475
- 70,102
Kwanini wafanyabiashara wa stendi ya Magufuli Mbezi wameachiwa kufanya biashara zao kwa kuzurura ndani ya stendi na kupanga biashara kila mahali wakati kuna majengo ya kufanyia biashara? Kuna wafanyabiashara wanauza bidhaa zao karibu kabisa na milango ya vyoo jambo ambalo sio zuri kiafya.
Ni vyema wafanyabiashara wote wakafanyia biashara zao katika maeneo maalumu yaliyotengwa kufanyia biashara ili kuondoa usumbufu na sintofahamu ndani ya eneo la stendi.
Ni vyema wafanyabiashara wote wakafanyia biashara zao katika maeneo maalumu yaliyotengwa kufanyia biashara ili kuondoa usumbufu na sintofahamu ndani ya eneo la stendi.