#COVID19 Serikali: Wasio na kazi maalumu wasikae kwenye masoko, magulio na minada

#COVID19 Serikali: Wasio na kazi maalumu wasikae kwenye masoko, magulio na minada

Analogia Malenga

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2012
Posts
5,108
Reaction score
10,191
Katika juhudi za kupambana na maambukizi ya #Corona, Serikali kupitia Wizara ya Afya imetaka Masoko, Magulio na Minada kuhakikisha inazingatia umbali kati ya mtu na mtu, na kila mwenye biashara kuweka vifaa vya kunawia mikono.

Aidha watu wasio na kazi maalumu wametakiwa kutoonekana kwenye masoko ili kuepusha misongamano isiyo ya lazima.

Pamoja na hayo, Wizara imezuia mambo ya kuwawekesha watu kama kuchoma nyama ili watu wanunue nyama na kwenda nayo nyumbani badala ya kusubiria na kusabbisha msongamano.
 
Katika juhudi za kupambana na maambukizi ya #Corona, Serikali kupitia Wizara ya Afya imetaka Masoko, Magulio na Minada kuhakikisha inazingatia umbali kati ya mtu na mtu, na kila mwenye biashara kuweka vifaa vya kunawia mikono.

Aidha watu wasio na kazi maalumu wametakiwa kutoonekana kwenye masoko ili kuepusha misongamano isiyo ya lazima.

Pamoja na hayo, Wizara imezuia mambo ya kuwawekesha watu kama kuchoma nyama ili watu wanunue nyama na kwenda nayo nyumbani badala ya kusubiria na kusabbisha msongamano.
Hao wanaosema hivyo,mbona kwenye mbio na mikesha ya Mwenge watu wamejaa kama mchanga.?
Watuache aisee sisi tusio na kazi maalumu tukae masokoni wengine tunapata namba hata za wake za watu kiulaini.!
 
Katika juhudi za kupambana na maambukizi ya #Corona, Serikali kupitia Wizara ya Afya imetaka Masoko, Magulio na Minada kuhakikisha inazingatia umbali kati ya mtu na mtu, na kila mwenye biashara kuweka vifaa vya kunawia mikono.

Aidha watu wasio na kazi maalumu wametakiwa kutoonekana kwenye masoko ili kuepusha misongamano isiyo ya lazima.

Pamoja na hayo, Wizara imezuia mambo ya kuwawekesha watu kama kuchoma nyama ili watu wanunue nyama na kwenda nayo nyumbani badala ya kusubiria na kusabbisha msongamano.
Kazi nyingi za wabongo si maalum. Sijui watabaini vipi kazi maalum na zisizo. Eeeeh!
 
Katika juhudi za kupambana na maambukizi ya #Corona, Serikali kupitia Wizara ya Afya imetaka Masoko, Magulio na Minada kuhakikisha inazingatia umbali kati ya mtu na mtu, na kila mwenye biashara kuweka vifaa vya kunawia mikono.

Aidha watu wasio na kazi maalumu wametakiwa kutoonekana kwenye masoko ili kuepusha misongamano isiyo ya lazima.

Pamoja na hayo, Wizara imezuia mambo ya kuwawekesha watu kama kuchoma nyama ili watu wanunue nyama na kwenda nayo nyumbani badala ya kusubiria na kusabbisha msongamano.
Mbona kwenye mwenge wa Uhuru wanakusanyika?
Au Corona inauohopa mwenge?
 
Mbona kwenye mwenge wa Uhuru wanakusanyika?
Au Corona inauohopa mwenge?
Zindiko hilo!
Ngoja tupokee pesa za mabeberu.

Everyday is Saturday............................... 😎
 
Back
Top Bottom