Serikali: Watanzania wote wenye sifa watapewa vitambulisho vya Taifa kufikia Disemba 31, 2021

Serikali: Watanzania wote wenye sifa watapewa vitambulisho vya Taifa kufikia Disemba 31, 2021

Replica

JF-Expert Member
Joined
Aug 28, 2017
Posts
1,681
Reaction score
8,887
Leo naibu waziri wa mambo ya ndani, Khamis Hamza Chilo amesema Watanzania wote wenye sifa ya kupata vitambulisho vya Taifa wote watapewa vitambulisho vyao kufikia Disemba mwaka huu. Waziri Chilo ameyasema hayo bungeni mjini Dodoma akijibu swali la mbunge wa viti maalum, Saada Mansoor (Kaskazini Unguja).

Hadi sasa NIDA wamefanikiwa kuzalisha na kugawa vitambulisho milioni 8. Najiuliza miezi minne iliyobakia mwaka huu itaweza kugawa vitambulisho kwa mamilioni ya watanzania wanaotumia namba bila kuwa na vitambulisho.

Chilo.jpg
 
Hivyo vitambulisho havina faida,ukienda kujiandikisha kama mpiga kura kinatolewa makosa kibao yaani utashangaa,mtu anaweza kukwambia mbona wino wa saini umekoza.

Tunajuana yaani hata mkuu wa kijiji hakitambui kitambulisho na wakati ulipkwenda kuchukua na kujaza fomu ulipitia kwake. Yaani anasema hajawahi kukuona ,hapo jamaa zangu polisi utawaona wanavyokudhalilisha nisifurahi !
 
Hizi story za vutambulisho tumeshazisikia tangu mwaka juzi tumezichoka.
 
Leo naibu waziri wa mambo ya ndani, Khamis Hamza Chilo amesema Watanzania wote wenye sifa ya kupata vitambulisho vya Taifa wote watapewa vitambulisho vyao kufikia Disemba mwaka huu. Waziri Chilo ameyasema hayo bungeni mjini Dodoma akijibu swali la mbunge wa viti maalum, Saada Mansoor (Kaskazini Unguja).

Hadi sasa NIDA wamefanikiwa kuzalisha na kugawa vitambulisho milioni 8. Najiuliza miezi minne iliyobakia mwaka huu itaweza kugawa vitambulisho kwa mamilioni ya watanzania wanaotumia namba bila kuwa na vitambulisho.

Usimwamini mwanasiasa hata kama akiwa mama ako mzazi.
 
Leo naibu waziri wa mambo ya ndani, Khamis Hamza Chilo amesema Watanzania wote wenye sifa ya kupata vitambulisho vya Taifa wote watapewa vitambulisho vyao kufikia Disemba mwaka huu. Waziri Chilo ameyasema hayo bungeni mjini Dodoma akijibu swali la mbunge wa viti maalum, Saada Mansoor (Kaskazini Unguja).

Hadi sasa NIDA wamefanikiwa kuzalisha na kugawa vitambulisho milioni 8. Najiuliza miezi minne iliyobakia mwaka huu itaweza kugawa vitambulisho kwa mamilioni ya watanzania wanaotumia namba bila kuwa na vitambulisho.

Mimi tokea 2018 mpaka leo sijapata kitambulisho.[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]
 
Leo naibu waziri wa mambo ya ndani, Khamis Hamza Chilo amesema Watanzania wote wenye sifa ya kupata vitambulisho vya Taifa wote watapewa vitambulisho vyao kufikia Disemba mwaka huu. Waziri Chilo ameyasema hayo bungeni mjini Dodoma akijibu swali la mbunge wa viti maalum, Saada Mansoor (Kaskazini Unguja).

Hadi sasa NIDA wamefanikiwa kuzalisha na kugawa vitambulisho milioni 8. Najiuliza miezi minne iliyobakia mwaka huu itaweza kugawa vitambulisho kwa mamilioni ya watanzania wanaotumia namba bila kuwa na vitambulisho.

Itabidi waweke mbolea za kwenye mashamba ya miwa na wamwagie kwa kutumia wanzuki, hata hivyo kikao cha bunge lazima kiwe na wapiga vigelegele.
 
More than 3 years wanahangaika na vitambulisho milioni 8??
Ni miaka inakaribia 10 siyo mitatu. Mimi nilijiandikisha mara mbili, baada ya miaka mitatu nilifanikiwa kukipata kitambulisho.

NIDA kuna tatizo kubwa sana. Lakini siyo nida, ni serikali ya CCM yenye matatizo mazito yasiyorekebishika milele.
 
Bi miaka inakaribia 10 siyo mitatu. Mimi nilijiandikisha mara mbili, baada ya miaka mitatu nilifanikiwa kukipata kitambulisho.

NIDA kuna tatizo kubwa sana. Lakini siyo nida, ni serikali ya CCM yenye matatizo mazito yasiyorekebishika milele.
Umeona sasa, yaani ni hovyo sanaaaaa aisee..
 
Vipi kwa waliofariki ama kufa kabla ya kuvipata watapatiwa fidia yoyote
 
Hawa jamaa washajua wanaongoza wananchi ambao ni hamnazo kwa hiyo wanaweza kufanya lolote. But there is a lesson awaiting them come 2025
 
Back
Top Bottom