johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Msemaji wa serikali Gerson Msigwa amesema hadi sasa watanzania zaidi ya laki tano wamepata chanjo ya covid 19 ambayo ni 51% ya chanjo zilizopokelewa.
Mikoa iliyofanya vizuri ni Katavi, Lindi na Mtwara, amesema!
Mikoa iliyofanya vizuri ni Katavi, Lindi na Mtwara, amesema!