Serikali wekeni dawa za matatizo ya akili wilaya zote

kichwabox

Senior Member
Joined
Feb 14, 2016
Posts
152
Reaction score
40
Kuna umuhimu serikali kuweka dawa za matatizo ya akili wilaya zote kama ilivyo kwa HIV kuondoa usumbufu kwa wanaochukua dozi hizo na ikumbukwe yapo magonjwa mengi ya akili kama kupendelea kunywa pombe kulikopitiliza,kupenda kukaa uchi,kutokula (eating disorder),bipolar na kadhalika.

Nawakilisha.
 
ni msongo wa mawazo na stress nao ni mojawapo ya tatizo la akili angalia google
 
na bila dawa lazima hali iwe mbaya tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…