Serikali ya awamu ya Sita imegeuka ya uwongo na ulaghai

Serikali ya awamu ya Sita imegeuka ya uwongo na ulaghai

Missile of the Nation

JF-Expert Member
Joined
May 24, 2018
Posts
15,101
Reaction score
56,054
Kwa mambo yanavyokwenda ni vigumu kujua kuwa rais Samia yuko in charge ya mambo, au kuna genge la watu limemcorner rais wetu na kumtengenezea ajenda kwa manufaa ya kundi hilo binafsi.

Rais alovyoanza kuongoza hii nchi, kila mmoja aliona nia yake nzuri, dhamira yake nzuri, na kiukweli alikong'a nyoyo za wananchi kwa sababu miezi yake mitatu ya kwanza aliongoza nchi kwa hekima, utu na alifanya mambo mazuri yenye kuleta faraja na matumaini.

Lakini kadri siku zinavyokwenda ameanza kuwa divisive, anatoa kauli si za kuunganisha bali za kutenganisha, si kauli za kweli bali zenye uwongouwongo. Sasa haifai kwa mtu mwenye cheo nyeti kama chake kutoa kauli za kudanganyadanfanya, hiyo ni aibu kubwa.

Tazama Jeshi la polisi linavyopika uwongo na kupitia uongo huo kuumiza watu.

Leo jeshi linatamka kuwa Mbowe ana shutuma za kutaka kuua viongozi, lakini mashitaka wanayofungua hilo kosa hawaliweki. Hii kama siyo uzandiki, uchochezi, uchonganishi ni nini?

Chukulia mfano Interview za IGP Sirro katika kujustify kwao kutofanya uchunguzi sakata la Lissu, anadai kuwa alimpigia Simu Lissu akahojiwe, lakini Lissu akakataa, at the same time hatuelezi keshataja kumhoji nani mwingine, maana shahidi wa shauri hawezi kuwa mmoja!

Leo tunaona Hata TBC nayo inarusha taarifa za uongo, wanatafuta vijana wasiohusiana na CHADEMA, wanawavisha uniforms za CHADEMA kisha wanajifanya eti ni vijana wa chama hicho wanapinga sera na mipango ya Chama kwenye ishu ya katiba mpya. Haya mambo yote yako staged, ni uwongo mtupu, wanawadanganya watanzania

Funga kazi ni rais mwenyewe, anakuja front na kudanganya waziwazi eti Watanzania wamekubali suala kodi za miamala, hii ameipata wapi?

Pia anapokuja na kutusemea watanzania eti hatuhitaji katiba mpya bali tunahitaji maji, kwanza nani kamwambia kuwa katiba mpya itakausha vyanzo vya maji nchini?, nani kamwambia kuwa jatiba mpya itazuia wananchi wasiletewe maji?. By the way chama chake tangu enzi za TANU kiko madaraani kwa zaidi ya miaka 60, myda wote huo hakuna katiba hii tunayoipigania, ni kitu gani kiliwazuia kuleta maji?

Rais Samia akumbuke tu, ni suala la katiba mpya lililomtbulisha kwa wananchi wengi kama kiongozi, kabla ya hapo tulikuwa hatumjui. Sasa inashangza mtu aliyekwisha kaa kwenye bunge la katiba, akala posho za vikao vta bunge hilo ambazo ni kodi za wananchi, tena akawa malu mwenyekiti wa bunge hilo LEO hii anakuja anatwambia eti haoni kipaumbele cha katiba mpya!, Huu ni utani mkubwa sana kwa Watanzania.

Rais anayevunja sheria waziwazi na kiapo cha uraisi alichokula, hii haijakaa sawa kabisa.

Sheria inavipa vyama vya siasa haki ya kufanya mikurano ya hadhara kwa lengo la kusaka wanachama wapya, leo hii unasema inabidi wafanye mikurano ya ndani tu, uvunjaji huu wa sheria ya wazi na kisha kujustify kwa kusema uongo eti marekani hakuna mikurano ya hadhara baada ya uchaguzi ni kwa manufaa ya nani?, Marekani kyba haki ya kufanya mikurano ta hadhara ukitaka, Trump anafanya, na yeyote anayetaka kufanya anafanya, kazi ipo kwenye kuwafanya watu waende, lakini hukatazwi
 
... CCM ni baba wa uongo! Unategemea uzao wake (CCM) uweje? Haikunenwa mwana wa nyoka ni nyoka? Kila kilichozaliwa na CCM ni lazima kifanane na mzazi wake - uongo, husda, fitna, dharau, dhihaka, kejeli, jeuri (wanasema jeuri ya chama), na mengine kama hayo!
 
Hivi kuna chama au kiongozi wa upinzani asiekuwa muongo? Bahati nzuri watanzania wa sasa wanaufahamu mkubwa wa vyama vya siasa na viongozi wao. Ndio maana inapofika kipindi cha uchaguzi huwa wanafanya yao.

images (7).jpeg


images (12).jpeg

Kum point mwenzio kidole huku kingine kinakuelekea mwenyew ni ujinga na upuuzi wa hali ya juu. Bora hizi mada zinazohusu fitna, uongo nk msiwe mnazileta humu maana zinawavua nguo vibaya sana. Kilichofanyika 2015 hakuna mtanzania na mpenda mageuzi wa kweli anaweza kukisahau kamwe!!
images (8).jpeg
 
Mi naona hapa umefata mkumbo tu, ila ukweli ni kwamba kundi linalohitaji katiba ni kundi fulani la wanasiasa nasio wanachi wote kiujumla.

Na wanasiasa hawa kama hujajua tu ni kuwa wanahitaji katiba kwajili ya kunufaika kisiasa na sio katiba kwajili ya kuboresha masirahi ya mwananchi yeyote.

Na hapa mnatuonesha ni kiasi gani mlivyowanafiki, mlikuwa mnamsifia ila kwavile mh wetu yule katiwa hatiani kwa tuhuma fulani baaaasi wote mmegeuka na kumuona Mama hafai, kutuhumu sio kosa wala si dhambi
 
Samia hana habari na Tanganyika yupo hapo kuipapatua Zanzibar awaachie Tanganyika zigo lao. Na hisi kama anapas taim tu.
 
Mi naona hapa umefata mkumbo tu, ila ukweli ni kwamba kundi linalohitaji katiba ni kundi fulani la wanasiasa nasio wanachi wote kiujumla.

Na wanasiasa hawa kama hujajua tu ni kuwa wanahitaji katiba kwajili ya kunufaika kisiasa na sio katiba kwajili ya kuboresha masirahi ya mwananchi yeyote
Wanasiasa nao ni wananchi

Katiba haina mambo ya uchaguzi tu, ina mambo mengi ikiwemo
1. Msingi wa ulinzi na matumizi bora ya rasilimali za nchi
2. Utawala bora, na maadili ya viongozi
3. Msingi wa haki, mahakama huru, bunge lenye meno
4. Ukubwa wa serikali (Serikali lubwa ni gharama)

Vitu vyote hivyo vinaathiri maisha ya watu
 
Tulisema mapema, huyu ni kama msimamizi wa mirathi tu aliyekabishiwa kisheria ili azilinde akisubiri muda wetu wa kumiliki ufike.

Tuliishia kubezwa!
 
Wanasiasa nao ni wananchi

Katiba haina mambo ya uchaguzi tu, ina mambo mengi ikiwemo
1. Msingi wa ulinzi na matumizi bora ya rasilimali za nchi
2. Utawala bora, na maadili ya viongozi
3. Msingi wa haki, mahakama huru, bunge lenye meno
4. Ukubwa wa serikali (Serikali lubwa ni gharama)

Vitu vyote hivyo vinaathiri aisha ya watu
Izo mahakama kwenu zinakuwaga huru pale tu zinapowaachia watu mnaowashabikia ila zikiwatia hatiani sio huru tena. Kwa style hii hata mletewe Malaika hatoweza kuwapa mnachokihitaji.
 
Wanasiasa nao ni wananchi

Katiba haina mambo ya uchaguzi tu, ina mambo mengi ikiwemo
1. Msingi wa ulinzi na matumizi bora ya rasilimali za nchi
2. Utawala bora, na maadili ya viongozi
3. Msingi wa haki, mahakama huru, bunge lenye meno
4. Ukubwa wa serikali (Serikali lubwa ni gharama)

Vitu vyote hivyo vinaathiri aisha ya watu
Nchi hii ina wananchi takribani 60M kukiwa na makundi kibao, why kundi moja tu la wanasiasa uchwara wa hapa kwetu wanqjiona wana HAKI SAAANA ya kusikilizwa na kupewa mahitaji yao ?

Ndio maaana Magu alikuwa anayaUA maana hayana Akili, Samia mvumilivu sana. Mimi mtu akiniita bogus, Mungu atanisamehe tu namkoboa fuvu la kichwa kabisa.
 
Nchi hii ina wananchi takribani 60M kukiwa na makundi kibao, why kundi moja tu la wanasiasa uchwara wa hapa kwetu wanqjiona wana HAKI SAAANA ya kusikilizwa na kupewa mahitaji yao ?

Ndio maaana Magu alikuwa anayaUA maana hayana Akili, Samia mvumilivu sana. Mimi mtu akiniita bogus, Mungu atanisamehe tu namkoboa fuvu la kichwa kabisa.
Chadema inawasemea wananchi kwa sababu ni chama cha kusimamia ajenda za wananchi

Lakini pili Chadema nao ni wananchi pia

Tatu Chadema ni wadau wa katiba, kwa sanabu kuna mambo ndani ya katiba wana interest nayo kama chama halali cha siasa nchini
 
Chadema inawasemea wananchi kwa sababu ni chama cha kusimamia ajenda za wananchi

Lakini pili Chadema nao ni wananchi pia

Tatu Chadema ni wadau wa katiba, kwa sanabu kuna mambo ndani ya katiba wana interest nayo kama chama halali cha siasa nchini
Illusions.

Acheni kulazimisha kuwafanya wananchi mitaji. Siasa za karne ya 9.

Kila kundi la wananchi lina mahitajinyake, ukikutana na wazee, vijana, wanafunzi, wanasiasa, wafanyabiashara, wakulima lazima utakutana na mahitajo tofauti.
 
Izo mahakama kwenu zinakuwaga huru pale tu zinapowaachia watu mnaowashabikia ila zikiwatia hatiani sio huru tena. Kwa style hii hata mletewe Malaika hatoweza kuwapa mnachokihitaji.
Unawaza ujinga utafikiri hiyo mahakama inawahusu cdm tu.Ukiambiwa mahakama huru unatakiwa uelewe nin maana ya nchi kua na mahakama huru.acha kuokoteza ushabiki wawatu ukahuhusisha na jambo la msingi la nchi kua na mahakama huru.
 
Back
Top Bottom