Money Stunna
JF-Expert Member
- Aug 9, 2011
- 13,053
- 6,304
Serikali ya canada imetishia kuvunja uhusiano na uganda kama ikipitisha sheria ya kukandamiza mashoga.
Siku ya jumatatu balozi wa Uganda aliitwa ghafla kujieleza kwa waziri wa mambo ya nje wa Canada.
Balozi wa Uganda Alintuna Nsambu amesema jana aliitwa kujieleza pia amesema nchi nyingi za western zitavunja uhusiano na uganda muswada huo ukipitishwa.
Hivo waganda wachague misaada au kupinga ushoga
Siku ya jumatatu balozi wa Uganda aliitwa ghafla kujieleza kwa waziri wa mambo ya nje wa Canada.
Balozi wa Uganda Alintuna Nsambu amesema jana aliitwa kujieleza pia amesema nchi nyingi za western zitavunja uhusiano na uganda muswada huo ukipitishwa.
Hivo waganda wachague misaada au kupinga ushoga