Serikali ya CCM, kwanini tunashindwa na wenzetu wanaweza? Mtupishe!

Yaani CCM kama wachawi, hivi kweli Prof. Msomi Mwanazuoni mbombevu leo hii ameibwaga taaluma yake na kushawishiwa kwenda kuzindua trela la trekta na kunasibu kuwa hiyo ni hatua ambayo nchi imepiga kitechnolojia?

Kitila ziko wapi zile akili zako za awali kabla ya kuteuliwa kuwa huko? Umerogwa?

Kwa taarifa tako huko Simanjiro kuna jamaa anaitwa Kakaaaa anau da hayo matrela huu ni mwaka wa 10 kama sio 12.

Bado hujafika Moshi wanako-design na kuunda zile cluser za watalii ambazo zimekuwa ni kuvutio tosha kwa wageni nchini.

Inasikitisha sana
 
Hahaaaaa, kweli nchi hii maskini!
 
hapo tayari umemaliza kukashifu ? au bado unaendelea?
 
yaani siamini kama naye huyu chizi ameshauza utu wake kwa mabeberu yaani ukishakuwa shoga akili zinahamia makalioni kama huyu hafai tena kuwamhubiri wa dini
Mbona kama ume panic? Chama chenu cha mazwazwa kisikupe homa sana kulitetea!
 
Msukuma hakukosea kabisa kuwananga maprofesa wa Tanzania,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…