Serikali ya Equatorial Guinea yaunyima uwezo WhatsApp usambazaji wa picha na video za ngono za Afisa wa Serikali

Serikali ya Equatorial Guinea yaunyima uwezo WhatsApp usambazaji wa picha na video za ngono za Afisa wa Serikali

Mkalukungone mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
862
Reaction score
1,755
Naona Serikali Equatorial Guinea wanafanya kila mbinu kuhakikisha mambo yasiwe mengi baada ya huyo jamaa kuchafua hali ya hewa kwenye taifa hilo na nje ya taifa hilo
============================

Serikali ya Equatorial Guinea imeminya Mtandao wa Whatsapp Nchini humo ili Raia wake wasiweze kupakua (ku-download) na kusambaza picha pamoja na video kwa kutumia Whatsapp, kufuatia kashfa ya ngono inayomuhusisha Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Kitaifa la Uchunguzi wa Fedha Nchini humo, Baltasar Engonga ambaye ameingia kwenye kashfa ya kujirekodi akifanya mapenzi na Wanawake zaidi ya 400 Ofisini na nyumbani.

Watumiaji wengi wa Whatsapp Nchini humo wamechukizwa na maamuzi hayo ya Serikali na wengine wamenukuliwa wakilaumu kwamba makosa ya Watu wachache yamefanya washindwe kuendelea na shughuli zao za kawaida kwenye mtandao huo.

Soma Pia:
Sakata hili la video za ngono kwa Mkurugenzi huyo lilifichuka baada ya upekuzi wa Polisi uliofanywa nyumbani kwake na Ofisini kwake juu ya tuhuma za ufisadi na ulaghai ambapo CD kadhaa zilikutwa zikiwa na video za Wanawake hao zaidi ya 400 wakiwemo Wake za Watu, Mke wa Mchungaji wake Baltasar, Mdogo wake na Rais wa Nchi hiyo pamoja na Wake za Mawaziri

---
The Government of Equatorial Guinea has imposed restrictions on its citizens, preventing them from downloading and sharing multimedia files via mobile data on WhatsApp.

This decision came after the government directed telecommunications operators to implement measures to limit access to inappropriate content.

The situation escalated following a scandal involving Baltasar Engonga, the Director General of the National Financial Investigation Agency, who became embroiled in a sex scandal linked to the wives of prominent individuals.

This scandal surfaced during a fraud investigation against Engonga, leading to unannounced searches of his home and office by ANIF officials, where they discovered numerous CDs revealing his illicit encounters with various married women.

Reports indicate that over 400 videos include interactions with high-profile figures, such as his brother’s wife, his cousin, the sister of Equatorial Guinea’s president, the wife of the Director General of Police, and around 20 wives of ministers, among others.

The footage, which was recorded with consent, has since leaked online, igniting significant media attention.

In a recent update, local news outlet Ahora EG reported that citizens are expressing frustration over their inability to share photos, videos, and audio via mobile data, forcing them to rely solely on WiFi networks for such activities.
Earlier, the Vice President of Equatorial Guinea, Teddy Nguema, revealed plans to install surveillance cameras in all state body offices.

This measure is to ensure strict compliance with public service laws and curtail misconduct among officials.
 
Sijui bendera itakua nusu mlingoti au itakua fulu,,,,,maana kwa raia watakua wanafurahia tu kuona vikojoleo vya ma executive wanapopumzikiaga baada ya kula pesa za uma,,,,huku serikalini ni majonzi tupu.........haha sipati picha IGP anapita kufokafoka kwa raia huku nae kagongewa
 
Kuna still picture nimeiona jamaa analamba vidole vya mikono na mama kabinuka Ili apake mate ateleze kama kambale
 
Sioni hajabu watu kula vikojoleo vya viongozi kwani hata hapa Bongo mbona ipo sana tu sema tu ni kwa vile watu hawataki kuzianika. Si mnakumbuka kuna mbunge mmoja alikutwa Guest huko Dodoma na basha wake akimuacha mume Dar na watoto, yeye kaenda kuliwa na basha wake Dodoma.
 
Back
Top Bottom