Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
inaonekana serikali ya jk haina nia ya kuanzisha mchakato wa kuanzisha katiba mpya zaidi ya kuendelea kuiweka viraka.je wananchi tunaweza kutumia njia gani kudai katiba mpya?wana jf tunaweza kuchangiaje mchakato huo?