Wakili wa shetani
JF-Expert Member
- Nov 22, 2022
- 1,726
- 3,391
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shukrani sana mkuuKuna mshikaji ameniambia wao hulipwa tarehe 24
Itafaa zaidi wakenya, na hasa sababu wanaweza kutuma kwa safaricomKenya siku hizi wanalipwa hadi tarehe 31 yaani wanajikongoja hali mbaya, biashara peleka Uganda
34 Hadi tarehe 5 ya MWEZI mwengineWakuu. Kuna biashara nataka kuitangaza Kenya. Kama mjuavyo, biashara huchangamka watu wanapopata mshahara, hasa serikali inapotoa mshahara.
Naomba kujua Kenya wanapokea mshahara tarehe ngapi? Nimegoogle nimeambulia patupu.
MK254 Natanguliza shukrani.
Itafaa zaidi wakenya, na hasa sababu wanaweza kutuma kwa safaricom
Mimi kuna jamaa wa Kisumu kaniambia huwa wanalipwa trh 9 ya kila mwezi, atakayebisha nam block.Kuna mshikaji ameniambia wao hulipwa tarehe 24