Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 3,585
- 8,106
Uamuzi huo wa kuwaondoa kazini Wafanyakazi wasio wa Kada ya Ualimu (Non Academic Staff/ Administrative Staff) umechukuliwa ili kupunguza mzigo mkubwa wa madeni unaovikabili Vyuo hivyo Vikuu nchini Kenya
Kwa mujibu wa taarifa rasmi ni kuwa Vyuo hivyo vinadaiwa madeni yenye thamani ya Ksh bilioni 37.5 huku asilimia kubwa wakidaiwa na Mamlaka ya Mapato ( KRA)
KTN
Kwa mujibu wa taarifa rasmi ni kuwa Vyuo hivyo vinadaiwa madeni yenye thamani ya Ksh bilioni 37.5 huku asilimia kubwa wakidaiwa na Mamlaka ya Mapato ( KRA)
KTN