Serikali ya Kenya yafilisika, yachapisha pesa toka CBK

Nataka kuthibitishia watu hapa JF kwamba wewe hujui kitu zaidi ya kuandika ujinga na uongo mtu ili kulinda serikali yenu dhahifu, lengo watu waanze kukudharau.

Umeandika kwamba "Unlike other countries, Kenya borrows more from internal sources than External".

Wewe ni mwongo sana, 53% is external while only 47% is internal debts

Kenya's public debt hits 60.4 bln USD - Xinhua | English.news.cn
 
kevo maze waga unanibamba venye unawapa hawa majamaa facts..by the way kama uko nairobi yafaa nikutafte
Huyo jamaa yeye anaandika lolote linalotoka Kichwani mwake ili atetee wakikuyu wenzake, yote aliyoandika ni urongo mtupu, ngoja niende naye taratibu utagundua kwamba ni mwΓ²ngo na hajui Central Banks zinavyofanya kazi.

Amesema kwamba sehemu kubwa la deni la Kanya ni deni la ndani, soma hii uone alivyo mrongo.
Kenya's public debt hits 60.4 bln USD - Xinhua | English.news.cn
 
Id Amin wa Uganda aliamuru pesa zichapishwe, sh ikashuka thamani sana.
 
Ubaya yako unapenda kubishana without facts alafu ukishindwa u get personal and emotional
 
Hii safi Sana, Hope wakenya wameisoma yote
 

Kwani kichwa unaitumia kama kabati ya kuweka chips mayai.

i) Umedanganya ati GOK haina pesa ninakukosoa kwa vie najua watanzania kielimu mko chini sana hukujua kuna kitu inaitwa overdraft.

ii) Hii hapa CBK Kenya wakionesha domestic debt(Domestic Debt by Instrument | CBK)

iii) Hii hapa deni ya kenya kufikia may 2020 (Kenya's total public debt hits KSh 6.6 Trillion in May) tumelipa foreign
imefika kes 2.8 trillion baada ya kulipa mchina hivi majuzi.

iv) Ujinga unafikiria deni hubaki pale kila mwezi ujue tunalipa na tunahcukua ingine.

v) Kwanza enda kajifahamishe na Modern money theory

NB: Utanzania itakuuwa. Umejaa ujuaji mingi ya kijiji bila kujua unachosema, kazi ni kuenda twitter na opera news kufatana na wajinga na wachawi wenza. Hizo hapo links soma uelimike.
 
Sometimes nyamaza and stop exposing ua ignorance.Ubaya yako unapenda kubishana without facts alafu ukishindwa u get personal and emotional
Hivi wewe dada una matatizo gani?, nimeweka link hapo kupinga alichokisema, facts zipi unazotaka zaidi ya hizo?
 
Hii kabla ya COVID 19 na ku-default deni la SGR, Saa hii deni ni above $65bln!
 
Twende taratibu wacha kurukaruka, lengo ni kuthibitishia watu kwamba wewe ni mwongo unadanganya na hujui unalosema

Katika Post yako #20. Paragraph namba 3, umeandika " unlike other African countries, Kenyans debt majority is local". Wewe ni mwongo tena mwongo wa mchana

Kenya's total public debt hits KSh 6.6 Trillion in May

By June 2020
Domestic debt Ksh. 3.2 trl
External debt. Ksh. 3.49 trl

Je Kati ya domestic na External debt, ipi ni majority?

Tumalize kwanza hapa ndio tusonge mbele
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], Utawafanya wapate Peptic ulcers
kilichobaki ni kucheza na tarakimu mara utaskia GDP ya Kenya ni $120bln ili tu ratio/percentage ya debt to GDP isomeke ndogo!
 
kilichobaki ni kucheza na tarakimu mara utaskia GDP ya Kenya ni $120bln ili tu ratio/percentage ya debt to GDP isomeke ndogo!
Hahahaha, usicheze mbali, ngoja huyu jamaa tuone ana jambo gani jipya zaidi ya hilo ulilosema la kucheza na maneno ya uongo. Naona ameamua kutoroka.
 
Hao la macron bado ongeza $3 bln ya express dual highway na transmission grid!
Ujinga na uwivu inawasumbua hiyo $1.9 billion ya expressway siyo deni ni PPP, mwanakandarasi ata rudisha pesa yake na faida kwa kutoza ada kwenye hiyo barabara kama mchina na Nairobi expressway kweli nyinyi watanzania mko na shida mingi.
Yani hata vitu za kusoma na kupatikana kwa urahisi lazima muoongeze uondo na udaku za vijiwenyu.
 
Hee huku ndiyo ufipa wanaotoaga Sera zao utasikia tutabinafsisha biashara zoteπŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†

Ili wapate 10% yao kila mwezi ndiyo iwe demokrasia πŸ˜ƒπŸ˜ƒ
 
Wacha uongo GOK haijahi default kwa deni yoyote, hata eurobond 1 tuimaliza.
Umesoma post #33?, ninasubiri majibu, kama uliteleza kwa bahati mbaya, kiri kosa ili tuendelee na mjadala, kuna mambo mengi kuhusu Central Bank umeyazungumza ni vizuri tuyapitie ili turekebishe dhana potofu uliyonayo kichwani.
 
Mwendawazimu si ni mimi nimekupa hiyo link na hiyo ilikuwa ya May. Unadhani kutoka may hakuna deni imelipwa.
Naona kumbe wewe unakichaa.
Tunaomba ushahidi kwamba hiyo deni imelipwa, na tupe ushahidi kuonyesha kiwango kilichobaki cha External na Domestic ili tulinganishe watu waweze kufahamu, usitoroke tafadhali sana, utawasikitisha mashabiki wako wanaokufuatilia [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…