Serikali ya Kenya yapiga marufuku maandamano ya upinzani

comrade igwe

JF-Expert Member
Joined
Jan 12, 2015
Posts
7,295
Reaction score
3,950
Waziri wa Usalama wa ndani wa Kenya Mh Freddy Matiang amepiga marufuku wapinzani kuandamana kuhusu marudio ya uchaguzi katika miji tatu nchini Kenya, zuio hilo ni hatua ya kuokoa uchumi wa kenya.
Maandano yanaleta mdororo wa kiuchumi nchini Kenya kwa kuwa shughuli nyingi za kiuchumi husimama
 
Sasa mgombea wao amekacha, wanagoma nini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…