Serikali ya Kenya yatumia Ksh 1B kwa wiki kununua wanasiasa wa upinzani, wakati Wakenya wengi wanakufa kwa njaa

Serikali ya Kenya yatumia Ksh 1B kwa wiki kununua wanasiasa wa upinzani, wakati Wakenya wengi wanakufa kwa njaa

Huu ndo tunaitaga umbea sasa! Mkuu yakwao tuwaachie wenyewe.
Mkuu, hukumbuki walivyokua wakichafua serikali ya Tanzania wakati madiwani wengi na viongozi wa upinzani walipokua wakirudi CCM?, Hukumbuki wakenya jinsi walivyokua wakiunga mkono madai ya CHADEMA kwamba kura ziliibiwa? Sasa ni muda muafaka wa kulipa madeni [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mkuu, hukumbuki walivyokua wakichafua serikali ya Tanzania wakati madiwani wengi na viongozi wa upinzani walipokua wakirudi CCM?, Hukumbuki wakenya jinsi walivyokua wakiunga mkono madai ya CHADEMA kwamba kura ziliiviwa? Sasa ni muda muafaka wa kulipa madeni [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwa hili hapa nakupinga hadharani, CCM ilikuwa inanunua wapinzani kwa minada ya hadhara. Wengi waliahidiwa kupewa vyeo ndani ya Serikali na kweli walipewa. Akina Katambi, Nassari, Molel (a.k.a Dr.Shika) and com.
Kuhusu wizi katika uchaguzi uliopita hili liko wazi ni kama kulikuwa hakuna uchaguzi. Humu jukwaani kuna uzi wa shuhuda za watu kibao waliokuwa wasimamizi wa uchaguzi na yale walioyaona huko.
Kuhusu kusimama uchaguzi, Tanzania ina cha kujifunza kutoka Kenya.
 
Kwa hili hapa nakupinga hadharani, CCM ilikuwa inanunua wapinzani kwa minada ya hadhara. Wengi waliahidiwa kupewa vyeo ndani ya Serikali na kweli walipewa. Akina Katambi, Nassari, Molel (a.k.a Dr.Shika) and com.
Kuhusu wizi katika uchaguzi uliopita hili liko wazi ni kama kulikuwa hakuna uchaguzi. Humu jukwaani kuna uzi wa shuhuda za watu kibao waliokuwa wasimamizi wa uchaguzi na yale walioyaona huko.
Kuhusu kusimama uchaguzi, Tanzania ina cha kujifunza kutoka Kenya.
Hata Kenya ni hivyo hivyo, tena shutuma zimetolewa na naibu rais, anajua kila linalofanywa na serikali, huu ni muda muafaka wa kulipa madeni, waambie watulie dawa iwaingie [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Naona unamsapoti huyu mtu.
Ninyi mlivyokua mnasapoti Tundu Lissu na Chadema kwa kusema kwamba wapinzani walinunuliwa na kwamba kura ziliibiwa hamkumbuki?[emoji23][emoji23][emoji23].
 
Ikulu ya Kenya yatumiwa Kama ofisi ya kabila la wakikuyu
 
Back
Top Bottom