Pre GE2025 Serikali ya kijiji yaweka historia, yawalipia bima wananchi wake wote

Pre GE2025 Serikali ya kijiji yaweka historia, yawalipia bima wananchi wake wote

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Mindyou

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2024
Posts
1,869
Reaction score
4,877
Ni jambo lisilo la kawaida kutokea katika zama hizi, ambapo huko Mbeya Vijijini, Serikali ya kijiji cha Mashese kata ya Ilungu imegharamia bima za afya kwa zaidi ya wananchi 1,500 kwa shilingi milioni 10 ili kuhakikisha huduma za afya kwa jamii.

Mwenyekiti wa kijiji, Osia Lazaro Mwakalila, amesema lengo ni kuwafikia watu 2,000, wakiwemo wanafunzi na wakazi walioko nje ya kijiji.

"Serikali ya kijiji (Mashese) tulipokaa tukaangalia kutokana na vyanzo vyetu vya mapato ya kijiji tukaamua kuwakatia bima za afya wananchi na lengo letu ni wananchi wote wapate bima kwasababu wengi hawana kipato tukitembelea wananchi huko tukaona wanaumwa halafu hawana hela. Tunachoomba Serikali na wadau watusaidie vifaa vya maabara kuja hapa Zahanati ya Ilungu na pia wadau wakiwemo waliotoka hapa Mashese tunatamani hili liwe endelevu", amesema Osia Mwakalila, mwenyekiti wa Serikali ya kijiji cha Mashese kata ya Ilungu Mbeya vijijini.


bimaaaaaa.png
 
Huyu ni mwenyekiti wa kijiji lakini akili zake katika hili na upendo wake unatosha awe raisi kabisa wa jamhuri ile ya danganyika, kisha yule kiongozi wa DANGANYIKA akawe mwenyekiti wa kijiji ikiwezekana mama wa home tu ama muuza vijora.
 
Ni jambo lisilo la kawaida kutokea katika zama hizi, ambapo huko Mbeya Vijijini, Serikali ya kijiji cha Mashese kata ya Ilungu imegharamia bima za afya kwa zaidi ya wananchi 1,500 kwa shilingi milioni 10 ili kuhakikisha huduma za afya kwa jamii.

Mwenyekiti wa kijiji, Osia Lazaro Mwakalila, amesema lengo ni kuwafikia watu 2,000, wakiwemo wanafunzi na wakazi walioko nje ya kijiji.

"Serikali ya kijiji (Mashese) tulipokaa tukaangalia kutokana na vyanzo vyetu vya mapato ya kijiji tukaamua kuwakatia bima za afya wananchi na lengo letu ni wananchi wote wapate bima kwasababu wengi hawana kipato tukitembelea wananchi huko tukaona wanaumwa halafu hawana hela. Tunachoomba Serikali na wadau watusaidie vifaa vya maabara kuja hapa Zahanati ya Ilungu na pia wadau wakiwemo waliotoka hapa Mashese tunatamani hili liwe endelevu", amesema Osia Mwakalila, mwenyekiti wa Serikali ya kijiji cha Mashese kata ya Ilungu Mbeya vijijini.


Ni zile bima za asprin mbili kwa mwaka sio?
 
Ni jambo lisilo la kawaida kutokea katika zama hizi, ambapo huko Mbeya Vijijini, Serikali ya kijiji cha Mashese kata ya Ilungu imegharamia bima za afya kwa zaidi ya wananchi 1,500 kwa shilingi milioni 10 ili kuhakikisha huduma za afya kwa jamii.

Mwenyekiti wa kijiji, Osia Lazaro Mwakalila, amesema lengo ni kuwafikia watu 2,000, wakiwemo wanafunzi na wakazi walioko nje ya kijiji.

"Serikali ya kijiji (Mashese) tulipokaa tukaangalia kutokana na vyanzo vyetu vya mapato ya kijiji tukaamua kuwakatia bima za afya wananchi na lengo letu ni wananchi wote wapate bima kwasababu wengi hawana kipato tukitembelea wananchi huko tukaona wanaumwa halafu hawana hela. Tunachoomba Serikali na wadau watusaidie vifaa vya maabara kuja hapa Zahanati ya Ilungu na pia wadau wakiwemo waliotoka hapa Mashese tunatamani hili liwe endelevu", amesema Osia Mwakalila, mwenyekiti wa Serikali ya kijiji cha Mashese kata ya Ilungu Mbeya vijijini.


Vituko vya mwaka wa uchaguzi.
 
Ni jambo lisilo la kawaida kutokea katika zama hizi, ambapo huko Mbeya Vijijini, Serikali ya kijiji cha Mashese kata ya Ilungu imegharamia bima za afya kwa zaidi ya wananchi 1,500 kwa shilingi milioni 10 ili kuhakikisha huduma za afya kwa jamii.

Mwenyekiti wa kijiji, Osia Lazaro Mwakalila, amesema lengo ni kuwafikia watu 2,000, wakiwemo wanafunzi na wakazi walioko nje ya kijiji.

"Serikali ya kijiji (Mashese) tulipokaa tukaangalia kutokana na vyanzo vyetu vya mapato ya kijiji tukaamua kuwakatia bima za afya wananchi na lengo letu ni wananchi wote wapate bima kwasababu wengi hawana kipato tukitembelea wananchi huko tukaona wanaumwa halafu hawana hela. Tunachoomba Serikali na wadau watusaidie vifaa vya maabara kuja hapa Zahanati ya Ilungu na pia wadau wakiwemo waliotoka hapa Mashese tunatamani hili liwe endelevu", amesema Osia Mwakalila, mwenyekiti wa Serikali ya kijiji cha Mashese kata ya Ilungu Mbeya vijijini.


Mbeya ndiyo mkoa pekee wenye watu wenye akili
 
Safi sana, Vijiji vyote Nchini viige mfano huu mzuri.
 
Back
Top Bottom