Elections 2010 Serikali ya Kikwete imeleta maendeleo kwa watanzania


Wewe tunajua unahitaji nini toka kwa uongozi wa CCM, vote for them wewe mwenyewe!! Nyinyi mnatumia ujinga wao kutuibia wananchi. Vote for them, it is not necessary to go through India's path. Our path is different my dear! We want the out and give others chance to lead!!

It is your right to say, but CCM stinks!!
 
jamani maendeleo yapo, mfano sector ya ujenzi wazalendo wengi tuu wanapata kazi kutokana na mkukuta. Padep nao umesaidia baadhi ya wakulima. Super market zote hazikupungua vitu
umesahau
mkulabita
mkumbita
mkuza
 
kidumu chama cha mapinduzi...........................naomba mjiu please.......................kidumuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu
watu wasongea walishika mikono kichwani na kusema uwiiiiiiiiiiiii
 
Wanaweza kuhamia hapa, Haya mambo ya kukimbilia mijini yana matatizo yake




Wakihamia hapo wote, ndo maana Dar inatushinda kuendeleza!!

Tumebaki na ndoto za kujenga Kigamboni ya kusadikika!!!:A S 112:
 
Kama kweli ni maendeleo ndiyo hayo lakini katika mtindo hasi, ambao hata kama mtu ni kichaa hawezi kuridhishwa nayo.:llama:Si unamwona huyo mnyama anavyokimbia asiliwe na simba? ndivyo na wabongo wanavyopaswa kukimbia viongozi wa aina hiyo.
 
Kama kweli ni maendeleo ndiyo hayo lakini katika mtindo hasi, ambao hata kama mtu ni kichaa hawezi kuridhishwa nayo.:llama:Si unamwona huyo mnyama anavyokimbia asiliwe na simba? ndivyo na wabongo wanavyopaswa kukimbia viongozi wa aina hiyo.

Kinana atakwambia kuwa watanzania hawawezi kukimbia maana hawajui watakimbilia wapi
 
Invisible .... tumeambiwa kuwa tuache lugha za matusi na kejeli. Inabidi tu sasa picha ziongee kwa niaba yetu.

mama weeeee hii imenichekesha sana...dahh hivi nikitaka kupreint hizi picha nikaweka mabango naruhusiwa...hahaaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…