Serikali ya Kuupiga Mwingi: Badala ya kuzungumzia maisha ya watu mitaani mnaendekeza majungu

Serikali ya Kuupiga Mwingi: Badala ya kuzungumzia maisha ya watu mitaani mnaendekeza majungu

sambulugu

JF-Expert Member
Joined
Jun 1, 2021
Posts
4,485
Reaction score
8,562
Serkali hii itahukumiwa na wananchi kiutendaji si kwa sababu Magufuli alifanya vibaya au vizuri!

Magufuli tayari ni mfu hana cha kujitetea hata tutukane vipi yeye kashatenda yake mabaya au mazuri shauri yake na Mungu wake!

Kujificha kwenye kivuli cha Magufuli kuwa alikuwa mbaguzi ni kwa wale ambao tayari walikuwa na chuki za kidini au kikabila!

Magufuli huyu huyu alimuomba mfalme wa Morocco ajenge msikiti mkubwa na ikatendeka hivo! Pia pale Dodoma karibu na Chamwino Magufuli alijenga msikiti mkubwa baada ya kuchangisha watu kanisani kanisani!

Bahati nzuri moja wa wanausalama wake alikuwa Muislam pamoja na mpiga picha Michuzi ambaye alimsihi sana aende hija huku akiwa tayari hata kumchangia!

Kwa upande wa ukabila pia ni mtazamo tu mfano mdogo kwa hali ilivo sasa vyuoni na makazini wasukuma ndo wanauwezekano wa kuwakuta wengi zaidi kwenye maofisi.

Unaweza kukuta ofisi moja uko na wafanyakazi 50 wasukuma wakawa 7 na makabila mengine wakawa 43 kwa hiyo hapo usitegemee kuna wamakonde wengi kuliko Wasukuma na kadri miaka inavyoenda hali itaendelea kuwa hivo maana wao wako mikoa mitano!

Rais Magufuli anaweza kuwa na mapungufu mengi kama mimi na wewe tulivo lakini huyu huyu Magufuli kujenga hospital za kanda wilaya kila kona ya nchi!

Magufuli pia kwenye ujenzi kaanzisha ujenzi wa daraja la mto wami ambalo lilikiw kero kwa maiaka na miaka kwa wasafiri wa kanda ya Kaskazini!

USHAURI: Kwa wale wanaotupa madongo kila wakihotubia hatawasaidia kitu! Kitu pekee ambacho wanaweza kufanya ni kuwa watetezi wa wananchi huku mtaani lakini kwa kubwabwaja wakihisi wanamkomoa Magufuli haitawasaidia!

Serkali hii imeshindwa hata kutoa kauli dhabiti kwa wafanyabiashara jinsi gani wafanye ili kudhibiti mfumuko wa bei badala yake inafanya inachokiweza kutukana Magufuli ambaye hata hawezi kuwajibu!

Fanyeni kazi wananchi wa Tanzania ya leo sio wajinga kama nyeupe au nyeusi wanajua!
 
Serkali hii itahukumiwa na wananchi kiutendaji si kwa sababu Magufuli alifanya vibaya au vizuri!

Magufuli tayari ni mfu hana cha kujitetea hata tutukane vipi yeye kashatenda yake mabaya au mazuri shauri yake na Mungu wake!

Kujificha kwenye kivuli cha Magufuli kuwa alikuwa mbaguzi ni kwa wale ambao tayari walikuwa na chuki za kidini au kikabila!

Magufuli huyu huyu alimuomba mfalme wa Morocco ajenge msikiti mkubwa na ikatendeka hivo! Pia pale Dodoma karibu na Chamwino Magufuli alijenga msikiti mkubwa baada ya kuchangisha watu kanisani kanisani!

Bahati nzuri moja wa wanausalama wake alikuwa Muislam pamoja na mpiga picha Michuzi ambaye alimsihi sana aende hija huku akiwa tayari hata kumchangia!

Kwa upande wa ukabila pia ni mtazamo tu mfano mdogo kwa hali ilivo sasa vyuoni na makazini wasukuma ndo wanauwezekano wa kuwakuta wengi zaidi kwenye maofisi.

Unaweza kukuta ofisi moja uko na wafanyakazi 50 wasukuma wakawa 7 na makabila mengine wakawa 43 kwa hiyo hapo usitegemee kuna wamakonde wengi kuliko Wasukuma na kadri miaka inavyoenda hali itaendelea kuwa hivo maana wao wako mikoa mitano!

Rais Magufuli anaweza kuwa na mapungufu mengi kama mimi na wewe tulivo lakini huyu huyu Magufuli kujenga hospital za kanda wilaya kila kona ya nchi!

Magufuli pia kwenye ujenzo kujenga daraja la mto wami ambalo lilikiw kero kuwa maiaka na miaka kwa wasafiri wa kanda ya Kaskazini!

USHAURI: Kwa wale wanaotupa madongo kila wakihotubia hatawasaidia kitu! Kitu pekee ambacho wanaweza kufanya ni kuwa watetezi wa wananchi huku mtaani lakini kwa kubwabwaja wakihisi wanamkomoa Magufuli haitawasaidia!

Serkali hii imeshindwa hata kutoa kauli dhabiti kwa wafanyabiashara jinsi gani wafanye ili kudhibiti mfumuko wa bei badala yake inafanya inachokiweza kutukana Magufuli ambaye hata hawezi kiwajibu!

Fanyeni kazi wananchi wa Tanzania ya leo sio wajinga kama nyeupe au nyeusi wanajua!
Umeongea vyema Sana Kaka. Ubarikiwe
 
Hichi kiti angekikalia Majaliwa, Hussein Mwinyi, Lukuvi tungekuwa tunasogea,tunapiga hatua na tunasikiliza hotuba zenye mashiko, maono.

Naamini tungeona nguvu kubwa ikitumika kutatua changamoto za Watz, tungeona matokeo chanya, vitendo zaidi ya Ngojera na visingio na kuwagawanya Watz kwenye kila hotuba.
 
Hatutakaa turudie makosa kuwapa nchi makatili kama huyo wa chato aliyejidai msukuma feki
Huenda hata chakula Cha mchana hujapata sababu ya kuwa na maisha magumu,a man has gone,chuki yako kwake haikusaidii,tuungane kupaza sauti juu ya hili janga la kitaifa kuhusu mfumuko wa bei,maana hata bidhaa zinazozalishwa ndani na hazisafirishwi sehemu moja kwenda nyingine zimepanda,Nazi mnasingizia Ukraine, COVID na Russia.
 
Serkali hii itahukumiwa na wananchi kiutendaji si kwa sababu Magufuli alifanya vibaya au vizuri!

Magufuli tayari ni mfu hana cha kujitetea hata tutukane vipi yeye kashatenda yake mabaya au mazuri shauri yake na Mungu wake!

Kujificha kwenye kivuli cha Magufuli kuwa alikuwa mbaguzi ni kwa wale ambao tayari walikuwa na chuki za kidini au kikabila!

Magufuli huyu huyu alimuomba mfalme wa Morocco ajenge msikiti mkubwa na ikatendeka hivo! Pia pale Dodoma karibu na Chamwino Magufuli alijenga msikiti mkubwa baada ya kuchangisha watu kanisani kanisani!

Bahati nzuri moja wa wanausalama wake alikuwa Muislam pamoja na mpiga picha Michuzi ambaye alimsihi sana aende hija huku akiwa tayari hata kumchangia!

Kwa upande wa ukabila pia ni mtazamo tu mfano mdogo kwa hali ilivo sasa vyuoni na makazini wasukuma ndo wanauwezekano wa kuwakuta wengi zaidi kwenye maofisi.

Unaweza kukuta ofisi moja uko na wafanyakazi 50 wasukuma wakawa 7 na makabila mengine wakawa 43 kwa hiyo hapo usitegemee kuna wamakonde wengi kuliko Wasukuma na kadri miaka inavyoenda hali itaendelea kuwa hivo maana wao wako mikoa mitano!

Rais Magufuli anaweza kuwa na mapungufu mengi kama mimi na wewe tulivo lakini huyu huyu Magufuli kujenga hospital za kanda wilaya kila kona ya nchi!

Magufuli pia kwenye ujenzi kaanzisha ujenzi wa daraja la mto wami ambalo lilikiw kero kwa maiaka na miaka kwa wasafiri wa kanda ya Kaskazini!

USHAURI: Kwa wale wanaotupa madongo kila wakihotubia hatawasaidia kitu! Kitu pekee ambacho wanaweza kufanya ni kuwa watetezi wa wananchi huku mtaani lakini kwa kubwabwaja wakihisi wanamkomoa Magufuli haitawasaidia!

Serkali hii imeshindwa hata kutoa kauli dhabiti kwa wafanyabiashara jinsi gani wafanye ili kudhibiti mfumuko wa bei badala yake inafanya inachokiweza kutukana Magufuli ambaye hata hawezi kuwajibu!

Fanyeni kazi wananchi wa Tanzania ya leo sio wajinga kama nyeupe au nyeusi wanajua!
Basi wewe jikite kuzungunzia hayo maisha ya watu mitaani

Kila mtu ashinde mechi zake.
 
Tunakoelekea siyo kuzuri hata kidogo hali ikiendelea hivi. Tunahitaji mabadiliko makubwa!
 
Mama hana budi kuacha mnanga Magu. Its not healthy, not at all.
 
Serkali hii itahukumiwa na wananchi kiutendaji si kwa sababu Magufuli alifanya vibaya au vizuri!

Magufuli tayari ni mfu hana cha kujitetea hata tutukane vipi yeye kashatenda yake mabaya au mazuri shauri yake na Mungu wake!

Kujificha kwenye kivuli cha Magufuli kuwa alikuwa mbaguzi ni kwa wale ambao tayari walikuwa na chuki za kidini au kikabila!

Magufuli huyu huyu alimuomba mfalme wa Morocco ajenge msikiti mkubwa na ikatendeka hivo! Pia pale Dodoma karibu na Chamwino Magufuli alijenga msikiti mkubwa baada ya kuchangisha watu kanisani kanisani!

Bahati nzuri moja wa wanausalama wake alikuwa Muislam pamoja na mpiga picha Michuzi ambaye alimsihi sana aende hija huku akiwa tayari hata kumchangia!

Kwa upande wa ukabila pia ni mtazamo tu mfano mdogo kwa hali ilivo sasa vyuoni na makazini wasukuma ndo wanauwezekano wa kuwakuta wengi zaidi kwenye maofisi.

Unaweza kukuta ofisi moja uko na wafanyakazi 50 wasukuma wakawa 7 na makabila mengine wakawa 43 kwa hiyo hapo usitegemee kuna wamakonde wengi kuliko Wasukuma na kadri miaka inavyoenda hali itaendelea kuwa hivo maana wao wako mikoa mitano!

Rais Magufuli anaweza kuwa na mapungufu mengi kama mimi na wewe tulivo lakini huyu huyu Magufuli kujenga hospital za kanda wilaya kila kona ya nchi!

Magufuli pia kwenye ujenzi kaanzisha ujenzi wa daraja la mto wami ambalo lilikiw kero kwa maiaka na miaka kwa wasafiri wa kanda ya Kaskazini!

USHAURI: Kwa wale wanaotupa madongo kila wakihotubia hatawasaidia kitu! Kitu pekee ambacho wanaweza kufanya ni kuwa watetezi wa wananchi huku mtaani lakini kwa kubwabwaja wakihisi wanamkomoa Magufuli haitawasaidia!

Serkali hii imeshindwa hata kutoa kauli dhabiti kwa wafanyabiashara jinsi gani wafanye ili kudhibiti mfumuko wa bei badala yake inafanya inachokiweza kutukana Magufuli ambaye hata hawezi kuwajibu!

Fanyeni kazi wananchi wa Tanzania ya leo sio wajinga kama nyeupe au nyeusi wanajua!
Kusifiwa na kukosolewa vina uzito sawa acheni Dunia izunguuke kwenye mhimili wake.
 
Niache unafiki siku ile tu ya kwanza alipo toa hotuba baada ya kifo cha jembe nikajua hamna kitu humu tangu siku hiyo MUNGU NI MASHAHIDI sijawahi poteza mda wangu kusikiliza hotuba zake.
pole sana magufuli kaharibu akili zenu,mmekuwa mazombi
 
Nilichojifunza kutoka kwa hawa viongozi wetu wa sasa ni kwamba, WAMEFELI karibu kwa kila kitu.
Kilichobaki kwao ni kuhalalisha udhaifu wao kwa kumsingizia JPM

Kwa bahati nzuri Watanzania wa sasa si wajinga. Wanajua JPM alifanya nini na aliwasaidia kwa kiasi gani.
Huwezi kuonekana kiongozi wa maana wakati bei za vitu zinapanda hadi kwa zaidi ya 150% wewe hushtuki hata kidogo.

Kila Mtanzania anajua kuwa, JPM angekuwepo huu ujinga wa watu kujipandishia bei watakavyo hata usingekuwepo.
JPM atabaki kuwa alama kuu ya ukombozi wa Watanzania.
 
Serkali hii itahukumiwa na wananchi kiutendaji si kwa sababu Magufuli alifanya vibaya au vizuri!

Magufuli tayari ni mfu hana cha kujitetea hata tutukane vipi yeye kashatenda yake mabaya au mazuri shauri yake na Mungu wake!

Kujificha kwenye kivuli cha Magufuli kuwa alikuwa mbaguzi ni kwa wale ambao tayari walikuwa na chuki za kidini au kikabila!

Magufuli huyu huyu alimuomba mfalme wa Morocco ajenge msikiti mkubwa na ikatendeka hivo! Pia pale Dodoma karibu na Chamwino Magufuli alijenga msikiti mkubwa baada ya kuchangisha watu kanisani kanisani!

Bahati nzuri moja wa wanausalama wake alikuwa Muislam pamoja na mpiga picha Michuzi ambaye alimsihi sana aende hija huku akiwa tayari hata kumchangia!

Kwa upande wa ukabila pia ni mtazamo tu mfano mdogo kwa hali ilivo sasa vyuoni na makazini wasukuma ndo wanauwezekano wa kuwakuta wengi zaidi kwenye maofisi.

Unaweza kukuta ofisi moja uko na wafanyakazi 50 wasukuma wakawa 7 na makabila mengine wakawa 43 kwa hiyo hapo usitegemee kuna wamakonde wengi kuliko Wasukuma na kadri miaka inavyoenda hali itaendelea kuwa hivo maana wao wako mikoa mitano!

Rais Magufuli anaweza kuwa na mapungufu mengi kama mimi na wewe tulivo lakini huyu huyu Magufuli kujenga hospital za kanda wilaya kila kona ya nchi!

Magufuli pia kwenye ujenzi kaanzisha ujenzi wa daraja la mto wami ambalo lilikiw kero kwa maiaka na miaka kwa wasafiri wa kanda ya Kaskazini!

USHAURI: Kwa wale wanaotupa madongo kila wakihotubia hatawasaidia kitu! Kitu pekee ambacho wanaweza kufanya ni kuwa watetezi wa wananchi huku mtaani lakini kwa kubwabwaja wakihisi wanamkomoa Magufuli haitawasaidia!

Serkali hii imeshindwa hata kutoa kauli dhabiti kwa wafanyabiashara jinsi gani wafanye ili kudhibiti mfumuko wa bei badala yake inafanya inachokiweza kutukana Magufuli ambaye hata hawezi kuwajibu!

Fanyeni kazi wananchi wa Tanzania ya leo sio wajinga kama nyeupe au nyeusi wanajua!

Yaani aibu kiongozi wa juu unaongozaje nchi kimajungu majungu na chawa wameshajua hilo wanakandamizia humohumo, suburi uchaguzi ukaribie upepo utakapo geuka atajua ajui, amuhulize Mkwele 2015 ilikuwaje
 
Back
Top Bottom