Serikali ya Kuupiga Mwingi: Badala ya kuzungumzia maisha ya watu mitaani mnaendekeza majungu

pole sana magufuli kaharibu akili zenu,mmekuwa mazombi
Acha niwe zombe kwa mtu alie acha nembo ya uchapa kazi kuliko unafiki na ujinga ni mpuuzi tu anaweza asijui ni wapi tz ilikua inaenda nenda nchi za jirani utasikia wanavo msifu marehem rakini ww ni mtz huthamini hata mchango wake kweli ww ni zombi
 
Acha niwe zombe kwa mtu alie acha nembo ya uchapa kazi kuliko unafiki na ujinga ni mpuuzi tu anaweza asijui ni wapi tz ilikua inaenda nenda nchi za jirani utasikia wanavo msifu marehem rakini ww ni mtz huthamini hata mchango wake kweli ww ni zombi
Binafsi kwenye suala la Miundombinu, huduma za Afya Magufuli alifanya vizuri saaaaana. Ila kwenye Utaliu, Elimu, ajira, Biashara alizingua mno.
Ngoja tuone huyu Mama anaendaje, ila kuna uelekeo hasa ktk biashara, Ajira, utalii ambapo husaidia sana kwenye mzunguko wa fedha nchini.
Hali ya mfumuko wa bei ni ya dunia nzima sio hapa as you hii ni Imported country by nature, hivyo uchumi wa dunia ukiyumba nasi tunayumba nao.
NB. UHURU WA KUONGEA UMEKUWA MKUBWA NDIO MAANA WEWE UMEPATA MUDA KWA KUMKEJELI MAMA SAMIA.
 
Yaweza kuwa huyu mama ndiye kafeli zaidi ya Marehemu.
Yaani anataka akubalike kwa kumsengenya marehemu ili hali walikuwa wote.
 
Tupo wengi. Na hili ndio kosa pekee alilolifanya Magufuli.

Kwanini Magufuli aliamua huyu mama awe mgombea mwenza? Alitumia vigezo gani kumfanya awe mgombea mwenza?.
Niache unafiki siku ile tu ya kwanza alipo toa hotuba baada ya kifo cha jembe nikajua hamna kitu humu tangu siku hiyo MUNGU NI MASHAHIDI sijawahi poteza mda wangu kusikiliza hotuba zake.
 
Utashangaa hadi 2025 inafika anakuja kugundua hakuna cha maana alichokifanya na alichofanikiwa,Mungu fundi sana aisee
 
Haina haja ya kuyazumgumzia hayo maisha bali matokeo yanajionesha 👇







 
Asilimia kubwa ya hotuba za kiongozi( kiranja mkuu) utasikia akisemea watoto/ wasichana na wanawake na mipasho isiokuwa na tija kwa Taifa kama. Upande wapili viongozi wengine wakisimama jukwaani utasikia Mama anaupiga mwingi. Badala ya kuzungumzia changamoto na matatizo yanayowakumba wanainchi kama maji, afya, Elimu, usafiri na Inflation ( mfumko wa bei).
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…