cblhbn
JF-Expert Member
- Aug 10, 2015
- 394
- 494
Raisi wa Serikali ya mapinduzi ya Zanzibar Dr Mohamed shein, amezindua meli mpya kwa ajili ya usafirishaji wa mafuta, kufwatia ahadi iliyotolewa kipindi cha uchaguzi mkuu wa mwaka 2015.
Ilani ya chama cha mapinduzi (2015 -2020), ilitanabahisha serikali itanunua meli zipatazo 4 ili kuweza kurahisisha uchakataji na usafirishaji wa mafuta, meli mpya ya mv ukombozi II, imekua meli ya sita kuagizwa na serikali ya Zanzibar, kupitia fedha za ndani, ambapo ahadi na uhitaji halisi ulikua ni meli nne Kama ilani inavyosema.
Meli hizi zitachochea uchumi wa Zanzibar na jamhuri ya Tanzania kupitia biashara ya mafuta na gesi. Raisi Shein amesema swala la uchakataji wa mafuta ni biashara kubwa sana duniani na yenye tija kiuchumi na sio la kukurupuka
#hapanikazituu
#Tanzanianikazituu
#sijuiwenginenikazinini
Ilani ya chama cha mapinduzi (2015 -2020), ilitanabahisha serikali itanunua meli zipatazo 4 ili kuweza kurahisisha uchakataji na usafirishaji wa mafuta, meli mpya ya mv ukombozi II, imekua meli ya sita kuagizwa na serikali ya Zanzibar, kupitia fedha za ndani, ambapo ahadi na uhitaji halisi ulikua ni meli nne Kama ilani inavyosema.
Meli hizi zitachochea uchumi wa Zanzibar na jamhuri ya Tanzania kupitia biashara ya mafuta na gesi. Raisi Shein amesema swala la uchakataji wa mafuta ni biashara kubwa sana duniani na yenye tija kiuchumi na sio la kukurupuka
#hapanikazituu
#Tanzanianikazituu
#sijuiwenginenikazinini